Jana net imenizingua sana mkuuJion ya Leo km utakuwa na muda tutaona Hali ipo vp?
Huo muda nitakuwa class nina evening classes mkuuKuanzia 11 na Nusu hiv ndy nitakuwa Available
Wewe mbona daily unanikimbia ?Hahhaahahahahhah[emoji28][emoji28][emoji28]
Dharau zimezidi
Kumbe ni Mwanafunzi [emoji23][emoji23][emoji23] Bhs sw tutakutana nightHuo muda nitakuwa class nina evening classes mkuu
😃😃😃nipo masters mkuu sio undergraduateKumbe ni Mwanafunzi [emoji23][emoji23][emoji23] Bhs sw tutakutana night
[emoji848] Master ya Kitu Gani na unachukulia Bongo au Nje?[emoji2][emoji2][emoji2]nipo masters mkuu sio undergraduate
Oya leta code tukipige saiv[emoji848] Master ya Kitu Gani na unachukulia Bongo au Nje?
Nipo Job ndy maana nasema napatika kuanzia Saa 11 na Nusu JioniOya leta code tukipige saiv
Nachukulia Bongo hapa hapa...[emoji848] Master ya Kitu Gani na unachukulia Bongo au Nje?
Hongera zako [emoji120][emoji120]Nachukulia Bongo hapa hapa...
Masters ya Sheria
Shukran MkuuHongera zako [emoji120][emoji120]
Tuguse ssShukran Mkuu
Oy tukipigeTuguse ss
Kijana Upo?Oy tukipige
Upo?Aliye online