Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Hahahhahahaha hii komenti bila kapicha ni Uthushiii [emoji1787][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhahahaha hii komenti bila kapicha ni Uthushiii [emoji1787][emoji23]
Hahhahahahahhahahhahahahahhahaahahhaha... [emoji2772]Haya Wanadream nimeweka bango hapo na nyiny mkipita mlione, ila chonde tafadhali ningeomba msaada wenu wa kifedha na kivinginevyo wa ku-run kesi endapo ndugu bwana adriz ataamua kulifikisha hili jambo katika vyombo vya sheria kwa kutumia logo yake pasi na idhini yake
Nawasilisha.......View attachment 2817111
[emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Soon nitarudi InshaAllah ndani ya mwezi wa 11 ,nina mzuka wa kutoa dozi humu maana naona toka muondoke watu wameanza kuota vitambi mpaka viande wanakuja kuomba mechi wakati enzi zangu wakikuta screenshots za vipigo ninavyotoa wanakula kona.
[emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnaota vitambi humu soon nitakuja kuwakabili
Njoo nikukandeAliye free muda huu aje tupige game
Lete code mkuuNjoo nikukande
UpoLete code mkuu
Tatizo wewe ukipigwa utasema net ,nakuacha mpaka ukiwa comfortable na net nitag tuplay.
Siku ambayo nitakuwa Comfortable ni mpk nitoke huku nilipo .Tatizo wewe ukipigwa utasema net ,nakuacha mpaka ukiwa comfortable na net nitag tuplay.
We ni kiande tu kama adriz tena afadhali yake anakubali kuwa kadundwa we unacheza game dakika 90 full time kabisa ukiona umechuana na mpinzani unadai mtandaoSiku ambayo nitakuwa Comfortable ni mpk nitoke huku nilipo .
Wala hakuna shida Mi ni Kibonde Bahati Mbaya zaidi Weapo ujawai nifunga ss Sijui unaandika niniWe ni kiande tu kama adriz tena afadhali yake anakubali kuwa kadundwa we unacheza game dakika 90 full time kabisa ukiona umechuana na mpinzani unadai mtandao
Mara ngap ishu za mtandao ndogondogo kama unavyotoaga ushahid hata kwet zinatokea tunaweka flight mode tukirudisha normal hao tunaingia uwanjani
Ukiona umeingia uwanjani tu hakuna tatizo la mtandao hapo vinginevyo labda tuone wachezaj wako wana-stuck
Wakuu
CodeWeekend hii aliye free aje nimkande
CodeLeta code
Muda gani utakuwepo activeCode