Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Upo mkuuAlie Online naomba aje tuguse
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mkuuAlie Online naomba aje tuguse
njoUpo mkuu
Tuone Leo Jion ItavyokuwaUpo mkuu
[emoji23][emoji15][emoji15]
Oya upo[emoji23][emoji15][emoji15]
Weka code[emoji23][emoji15][emoji15]
Kuwa Live Kijana nitakucheck kwenye saa 5 hivWeka code
Ukishinda yatakuja mabara baadae utarudi ligi tenaNaomba kuuliza hivi ukimaliza ile level ya legendary na ukaingia ile level ya kucheza na team za taifa kisha unaingia level ganj?
Toka nimeanza kucheza miaka miwili sasa nimekwamia hapo kwenye mashindano dhidi ya team za taifa
Moja ya game Bora walio toa Dream League ni hili Sasa ushindani upo haushindi kirahisi, kiufupi limefanyia marekebesho makubwa sanaWanadream mwaka huu hamna game pale, ila ngoja labda kwakuwa hatujalizoea
Mimi sijaupdate bado nipe ripoti jipya Lina maajabu gani ?Wanadream mwaka huu hamna game pale, ila ngoja labda kwakuwa hatujalizoea
Kwa upande wangu bado sijaona maajabuMimi sijaupdate bado nipe ripoti jipya Lina maajabu gani ?
Nilikuwa nataka DLS watoe mpya nianze rasmi operation yangu ya kutoa dozi Kali endelevu humu ,sasa hivi ushindi wako ni kutocheza na Mimi pekee ,sitaki uambulie hata sare Mr Kiande .Kwa upande wangu bado sijaona maajabu
Graphics naona kama wamefeli kimtindo
Pichi imepoteza ubora
Ile vibe ya mashabiki pia naona imepotea kabisa (yani hata ukishindiwa goli 5 kama ile siku ile mashabik hawana kamshange[emoji23][emoji23][emoji23])
Yale makeke yangu ya kulisakata kabumbu naona bado hayajafit ktk hii version mpya mpaka kuna kijihofu chanijia
Casemiro ambae alikuwa hashikiki ktk dimba la kati kwa sasa naona anakimbia tu, hii ni hatari kwa mustakabali wangu, jitihada za haraka zinahitajika kabla sijatolewa katika kiti changu
Kwahyo kwenye mabara ndo mwisho alaf unarudi ligi?Ukishinda yatakuja mabara baadae utarudi ligi tena
Wameongeza ushindani Mkubwa sana ukishinda hata goli Tano kwenye carrier games ww ni hatarri maana game ni ngumu sana wameongeza ushindani, pia ikitokea mchezaji wako kashinda hat trick anapewa mpira.Mimi sijaupdate bado nipe ripoti jipya Lina maajabu gani ?
Nielekeze jinsi ya kuita wawili wawili nimkabe Messi wa Fene vizuriWameongeza ushindani Mkubwa sana ukishinda hata goli Tano kwenye carrier games ww ni hatarri maana game ni ngumu sana wameongeza ushindani, pia ikitokea mchezaji wako kashinda hat trick anapewa mpira.
Kwa upande wa commentary wameonga Mtangazaji Mhispani so unaweza change pia unaweza weka English commentary ambaye wamemongezea mnaneo kidogo tu.
Pia Kuna draft game ambayo unakuta Kuna mastar tupu unachukua unashinda game unapewa money
Kingine kwa upande wa skills wameongeza unaweza ita wachezaji wawili kukaba
Inshort mwaka huu wametoa game Bora sana.
Huo ni kwa upande wangu.
Hio draft ipo humo humo kwenye DLS au tofauti ?Wameongeza ushindani Mkubwa sana ukishinda hata goli Tano kwenye carrier games ww ni hatarri maana game ni ngumu sana wameongeza ushindani, pia ikitokea mchezaji wako kashinda hat trick anapewa mpira.
Kwa upande wa commentary wameonga Mtangazaji Mhispani so unaweza change pia unaweza weka English commentary ambaye wamemongezea mnaneo kidogo tu.
Pia Kuna draft game ambayo unakuta Kuna mastar tupu unachukua unashinda game unapewa money
Kingine kwa upande wa skills wameongeza unaweza ita wachezaji wawili kukaba
Inshort mwaka huu wametoa game Bora sana.
Huo ni kwa upande wangu.