YaehOk but network inasumbua sana
CodeKweli vibonde mna tabu [emoji1787] Njooni niwape Darasa
Pambana na viande wa humu kwanza nithibitishe uwezo wako kabla ya kuja kwangu The Great master wa huu mchezo humu.Kama Kuna kiazi chochote humu kije nikishikishe adabu
Kwan ujaambiwa wakali wa hiz kaz tupoKama Kuna kiazi chochote humu kije nikishikishe adabu
Toka ln ukawa Master wkt Bado nipo haiPambana na viande wa humu kwanza nithibitishe uwezo wako kabla ya kuja kwangu The Great master wa huu mchezo humu.
DahKama Kuna kiazi chochote humu kije nikishikishe adabu
UpoKama unajijua unaweza weka code usilete maneno khanga
Kwa nini unaogopa mechi na Mimi ?Toka ln ukawa Master wkt Bado nipo hai
Hii ni screenshot ya Jana usiku, nilikubonda kama mwendawazimu[emoji23][emoji23]Kama mnajiweza kusanyikeni viande wote itengenezwe ligi ili nirahisishe kazi niwachape wote kwa wakati mmoja.
NjooKama Kuna kiazi chochote humu kije nikishikishe adabu
Hahahahhah we jamaa Kwa mikwara haujamboKama mnajiweza kusanyikeni viande wote itengenezwe ligi ili nirahisishe kazi niwachape wote kwa wakati mmoja.