Dream League Soccer Special Thread

Acha Yan tumecheza nae kaona Bora atake advantage kuna videmu vilikuwa vinatuma text Yeye anafunga ila bado sn Kijana hajajua anachangamoto
Ila mwamba unayumba unachat sana na Mademu mda wa kazi (DLS) tokea long nimekusoma , kama wanakumbua muda wa gemu set "focus mode" una izuia app ya message text zinakuwa hazifiki au tupasie namba za hao Mademu tuwaeleweshe.
 
Ila mwamba unayumba unachat sana na Mademu mda wa kazi (DLS) tokea long nimekusoma , kama wanakumbua muda wa gemu set "focus mode" una izuia app ya message text zinakuwa hazifiki au tupasie namba za hao Mademu tuwaeleweshe.
Setting zote zipo na ukiwa utaik usumbufu kabsa weka focus unachagua app ambazo utak ziwe active muda huo. Kuhusu mademu ndy wanatuoka kwny Moja na mbili Kakah lzm tuwazingatie
 
Mimi sijawahi kufika Tier 2 nimeishia 3 tu ,sasa nipo 7 mtandao umenikatili.
Daaah kiwango kdg sn Yan Mi Bila kudevelop nafika Ya 3 ss ukiwa na Kikos cheusi tier 1 lzm ufike km ili unaona Tabu bhs dls22 kurud Nyuma we tier ya single digit usingeweza kuiona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…