Acha Yan tumecheza nae kaona Bora atake advantage kuna videmu vilikuwa vinatuma text Yeye anafunga ila bado sn Kijana hajajua anachangamotoNa DR SANTOS mwamba ana shida ya kutojali fair play mechi aliyonifunga 5 magoli mawili wachezaji wamesimama yeye anafunga tu bila kujali , ajirekebishe ..
Itategemea nikiwa free nitakucheckNimetoka live sasa hivi hapa Simu ina percent ndg naboost kama dakika 10 hivi kama unaweza nivumilia mkuu saa 10 nitakuwa hapa tupeane code
Sawaa saa 10 nitakuwa hapaItategemea nikiwa free nitakucheck
Ifike wakati tofauti yangu na tier two tukae chini tumalize ona nimenyooshwa gemu tano kama nimesimama
View attachment 3074173
Tuma Kikos nikushauriIfike wakati tofauti yangu na tier two tukae chini tumalize ona nimenyooshwa gemu tano kama nimesimamaView attachment 3074173
Tuma Kikos nikushauri
[emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaokota walevi halafu unakuja kujisifu hauno aibu mkuu ?
Upo live au umetundika ndaruga mkuu??[emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema we jamaa Una dharau sana
Hapo km Unaweza Jitahid pass zako au mashambulizi yako ya pitie katikati
Ila mwamba unayumba unachat sana na Mademu mda wa kazi (DLS) tokea long nimekusoma , kama wanakumbua muda wa gemu set "focus mode" una izuia app ya message text zinakuwa hazifiki au tupasie namba za hao Mademu tuwaeleweshe.Acha Yan tumecheza nae kaona Bora atake advantage kuna videmu vilikuwa vinatuma text Yeye anafunga ila bado sn Kijana hajajua anachangamoto
Mimi sijawahi kufika Tier 2 nimeishia 3 tu ,sasa nipo 7 mtandao umenikatili.Ifike wakati tofauti yangu na tier two tukae chini tumalize ona nimenyooshwa gemu tano kama nimesimamaView attachment 3074173
Mbona wakata umeme wenginsana
Wewe tushakubaliana ni saa 3Adriz alete code me kupewa code aaah😂😂😂
Mimi naku apreciate kwamba uwezo unao ila tatizo hutaki kukubali kufungwaAcha Yan tumecheza nae kaona Bora atake advantage kuna videmu vilikuwa vinatuma text Yeye anafunga ila bado sn Kijana hajajua anachangamoto
Setting zote zipo na ukiwa utaik usumbufu kabsa weka focus unachagua app ambazo utak ziwe active muda huo. Kuhusu mademu ndy wanatuoka kwny Moja na mbili Kakah lzm tuwazingatieIla mwamba unayumba unachat sana na Mademu mda wa kazi (DLS) tokea long nimekusoma , kama wanakumbua muda wa gemu set "focus mode" una izuia app ya message text zinakuwa hazifiki au tupasie namba za hao Mademu tuwaeleweshe.
Daaah kiwango kdg sn Yan Mi Bila kudevelop nafika Ya 3 ss ukiwa na Kikos cheusi tier 1 lzm ufike km ili unaona Tabu bhs dls22 kurud Nyuma we tier ya single digit usingeweza kuionaMimi sijawahi kufika Tier 2 nimeishia 3 tu ,sasa nipo 7 mtandao umenikatili.
Swala la kudrible Mi sijuagi Mi na focus na Pass za chap plus Njia za kushambulia kupitia Mfumo husika na Kingine namna ya kujua udhaifu qa Mfumo wa Mpinzan