Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Tuma Kikos nikushauri
Screenshot_20240819-160308.png
 
Acha Yan tumecheza nae kaona Bora atake advantage kuna videmu vilikuwa vinatuma text Yeye anafunga ila bado sn Kijana hajajua anachangamoto
Ila mwamba unayumba unachat sana na Mademu mda wa kazi (DLS) tokea long nimekusoma , kama wanakumbua muda wa gemu set "focus mode" una izuia app ya message text zinakuwa hazifiki au tupasie namba za hao Mademu tuwaeleweshe.
 
Ila mwamba unayumba unachat sana na Mademu mda wa kazi (DLS) tokea long nimekusoma , kama wanakumbua muda wa gemu set "focus mode" una izuia app ya message text zinakuwa hazifiki au tupasie namba za hao Mademu tuwaeleweshe.
Setting zote zipo na ukiwa utaik usumbufu kabsa weka focus unachagua app ambazo utak ziwe active muda huo. Kuhusu mademu ndy wanatuoka kwny Moja na mbili Kakah lzm tuwazingatie
 
Mimi sijawahi kufika Tier 2 nimeishia 3 tu ,sasa nipo 7 mtandao umenikatili.
Daaah kiwango kdg sn Yan Mi Bila kudevelop nafika Ya 3 ss ukiwa na Kikos cheusi tier 1 lzm ufike km ili unaona Tabu bhs dls22 kurud Nyuma we tier ya single digit usingeweza kuiona
 
Back
Top Bottom