Sio kweli Ile game kuna demu kapoteza saa (Na Jana tulikuwa nae muda wote mpk namrudisha kwao) ndy kanitext sn plus Mchepuko Moja kutuma textMimi naku apreciate kwamba uwezo unao ila tatizo hutaki kukubali kufungwa
Aah sawaa mkuuHapo km Unaweza Jitahid pass zako au mashambulizi yako ya pitie katikati
Kaka ya pili sio pow si unaona hapo nimechapika gemu tano mfululizoMimi sijawahi kufika Tier 2 nimeishia 3 tu ,sasa nipo 7 mtandao umenikatili.
Inaonekana una madini mengi ya kunifikisha tier one😃Swala la kudrible Mi sijuagi Mi na focus na Pass za chap plus Njia za kushambulia kupitia Mfumo husika na Kingine namna ya kujua udhaifu qa Mfumo wa Mpinzan
Kucheza DLS Kwa Raha zingatia sn mifumo unayotumia itakusaidia sn kwamba ukitumia 4 4 2 Pass zako Kwa Mpinzan ziwe zinapigiwa upande ganiMe mwenyewe sielewi😃😃😃najua ya kutanguliza mpira tuu labda nikicheza na Dr Santos hiyo saa tatu nitajifunza
Nimefika tier two nimeona mfumo wa mtu kupiga one two mpk anakufunga nataka nipambane niimaster hii nzuri sanaKucheza DLS Kwa Raha zingatia sn mifumo anayotumia itakusaidia sn kwamba ukitumia 4 4 2 Pass zako Kwa Mpinzan ziwe zinapigiwa upande gani
Mpinzan akija na 3 4 3 ni advantage ipi kweny kumshambulia unapata piga pass kwny madhaifu yake hapo ss linapaki Swala la umefungwa Kwa Uwezo ila Mpinzan kaona Challenge
Kwa DLS 23+ tier 1 sio Kitu cha kukosa tena ukiwa na wachezaj wenye rate Kubwa. Sometimes hata Ujue Mbinu za kuwa coachingInaonekana una madini mengi ya kunifikisha tier one😃
Si ni casemiro na Rodri na hapo casemiro na VVD nataka kuuza ninunue Rice na SalibqMbona wakata umeme wenginsana
Sawaa mkuuWewe tushakubaliana ni saa 3
Hii mbna siijui au ni ile ya kutanguliza mpira mbeleUpande wa kulia kati kati bonyeza mara moja mchezaji akiwa na mpira bila kuachia uelekeo wake
Hapo elewa Mfumo wako so unapiga pass kufata arrangement ya players sometimes sio mpk umuone lkn Kwa pass fup fup punguza Camera distance ili uwe unawaona wakiwa wakubwa na karibuNimefika tier two nimeona mfumo wa mtu kupiga one two mpk anakufunga nataka nipambane niimaster hii nzuri sana
Aah basi hichi kitu me ndo sina nachojua ni kustick kwenye formula yangu kuwaza weakness ya upande wa pili hicho kitu sijawi fanyaKucheza DLS Kwa Raha zingatia sn mifumo unayotumia itakusaidia sn kwamba ukitumia 4 4 2 Pass zako Kwa Mpinzan ziwe zinapigiwa upande gani
Mpinzan akija na 3 4 3 ni advantage ipi kweny kumshambulia unapata piga pass kwny madhaifu yake hapo ss linapaki Swala la umefungwa Kwa Uwezo ila Mpinzan kaona Challenge
Nikimaliza kujifunza kukaba itabid nianze hii sasa ya kuwa kama coach...Kwa DLS 23+ tier 1 sio Kitu cha kukosa tena ukiwa na wachezaj wenye rate Kubwa. Sometimes hata Ujue Mbinu za kuwa coaching
Camera Umeweka ngapi kwako??Hapo elewa Mfumo wako so unapiga pass kufata arrangement ya players sometimes sio mpk umuone lkn Kwa pass fup fup punguza Camera distance ili uwe unawaona wakiwa wakubwa na karibu
Kwa Rodri km holding muweke Jude Bellingham arafu Kwa Mbape muweke De bruyneSi ni casemiro na Rodri na hapo casemiro na VVD nataka kuuza ninunue Rice na Salibq
Mi natumia 20% au 10%Camera Umeweka ngapi kwako??
Ukitaka kukaba tumia sn directions ukikaribia Mpira hold B na mara nying penda kuchange Active Player (Bonyeza C) ukiwa una Mpira ili kumpa Active Mchezaj alie Karibu na mpira so na km tactics utakuwa umeweka Defensive obviously mchezaj akiwa Hana Mpira atakuambia kurud goal kwakoNikimaliza kujifunza kukaba itabid nianze hii sasa ya kuwa kama coach...
Aah nakuwa na Attacking wawili si kwenye kukaba nitapitwa sanaKwa Rodri km holding muweke Jude Bellingham arafu Kwa Mbape muweke De bruyne