Umetisha sanaUkitaka kukaba tumia sn directions ukikaribia Mpira hold B na mara nying penda kuchange Active Player (Bonyeza C) ukiwa una Mpira ili kumpa Active Mchezaj alie Karibu na mpira so na km tactics utakuwa umeweka Defensive obviously mchezaj akiwa Hana Mpira atakuambia kurud goal kwako
Sawaa ngoja niweke na mimiMi natumia 20% au 10%
I'll game tu huwezi kupitwa na km unaona Mpinzan anakuja sn kwako Goal Change Mfumo weka 3 4 1 2 hapa ukiweka defensive wingback ukaweka hata Winger zenye speed na DM zote ukaweka Mtu ndefu Kdg oi hyo no kisanga Labda Net iwe jau tu ila utakuwa unakaba Kwa urahisi (Sometimes ukiona mtu anakuzid kiwango tumia Advantage ya kuwa na number ya wachezaj wenge kwenye eneo alilo na wachezaj wachache araf penda kuchezea ilo Eneo)Aah nakuwa na Attacking wawili si kwenye kukaba nitapitwa sana
Tactics nzr n Defensively ili ukiwa huna Mpira directions za wachezaj wako zote ziwe zinarudi Nyuma.Umetisha sana
Hapo kwenye tactics ipi nzuri kati ya attacking, balanced na Defensively
Binafsi ni mdau wa balanced sijawai jaribu hizo nyingine
Pia issue nyingine kwenye kona je kuna technique yoyote ya kuwin vichwa kabla ya wapinzani..
Maana wale wanaopiga kona ndefu then anatoa pasi ya kichwaa ni janga ambalo nimeshalishindwa...
Sawaa mkuuTactics nzr n Defensively ili ukiwa huna Mpira directions za wachezaj wako zote ziwe zinarudi Nyuma.
Kukaba Kona sio Nyepes Japo Unaweza kupunguza Kwa kuangalia mchezaj wako mwenye Active Players awe Karibu na Eneo la penalty au upande wa Huku Kona inapopigiwa ikipigwa Kona hold B sometimes Unaweza pia kudouble tap
Hapo ukikomaa kabla ya Ijumaa utakuwa tier 1Sawaa mkuu
Shukrani kwa madini haya🙏
Dream sijui wanashusha viwango vya wachezaji ? maana miaka miwili iliyopita na mwaka Jana VVD wangu alikuwa kitasa mwaka huu Mzembe japo Yuko full ndio maana nafungwa kizembe.Si ni casemiro na Rodri na hapo casemiro na VVD nataka kuuza ninunue Rice na Salibq
Kuwa kama coach ndio unakuwaje ?Nikimaliza kujifunza kukaba itabid nianze hii sasa ya kuwa kama coach...
Mimi nishazoe wadogo napiga 90% Camera type sidelineSawaa ngoja niweke na mimi
Ngoja tukicheza kwanza mkuu unipe marks kabisa😃Hapo ukikomaa kabla ya Ijumaa utakuwa tier 1
Tupashe Moja ,huku ukimsubiri kiande mwenzako.Ngoja tukicheza kwanza mkuu unipe marks kabisa😃
Ngoja tukicheza kwanza mkuu unipe marks kabisaHapo ukikomaa kabla ya Ijumaa utakuwa tier 1
Formation sijawai jaribu zaid ya 4-1-2-1-2 ngoja nitajaribu na hiyoI'll game tu huwezi kupitwa na km unaona Mpinzan anakuja sn kwako Goal Change Mfumo weka 3 4 1 2 hapa ukiweka defensive wingback ukaweka hata Winger zenye speed na DM zote ukaweka Mtu ndefu Kdg oi hyo no kisanga Labda Net iwe jau tu ila utakuwa unakaba Kwa urahisi (Sometimes ukiona mtu anakuzid kiwango tumia Advantage ya kuwa na number ya wachezaj wenge kwenye eneo alilo na wachezaj wachache araf penda
Sawaa twende kaka nipe codeTupashe Moja ,huku ukimsubiri kiande mwenzako.
Ngoja nijaribu camera ya wakubwa 😃😃Mimi nishazoe wadogo napiga 90% Camera type sideline
Twende tutapasheNimepata mbinu mpya za kuwakanda watu , mrakoma sasa.
Njoo wasapSawaa twende kaka nipe code
Unacheza huku unamsoma mpinzani wakoKuwa kama coach ndio unakuwaje ?