Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
- Thread starter
-
- #581
Upo?Hii Parching hii 😆😆yaani inasaka mchezaji kwa kaunta popote alipo ndio maana siogopi team yeyote hata wachezaji wewe na nguvu kama za Hulk kwani watavutwa kiakili kama watoto wadogo vile na kuchezea kichapo sio cha kawaida.
View attachment 2317938
Huku nilipo usiku network kwa kuplay online ni ngumu nitafute kaunzia asubuhi uone miujiza ya 'Parching style"'Oya
Upo?
Hata mm asubuhi net inakuwa na nguvu kidogoHuku nilipo usiku network kwa kuplay online ni ngumu nitafute kaunzia asubuhi uone miujiza ya 'Parching style"'
Halafu likizo yangu inaisha leo kuanzia kesho ninakiwasha upya nataka nichomoe Spurs kwa misimu miwili mfulizo kanipiga K anachukua kwa kunifunga mechi ya mwisho, sasa nataka niwe bingwa msimu huu na kuchukua International zote nione mwisho wake vipi ..Hata mm asubuhi net inakuwa na nguvu kidogo
Kesho alfajiri nitatest mitambo na ww before league nianzeHalafu likizo yangu inaisha leo kuanzia kesho ninakiwasha upya nataka nichomoe Spurs kwa misimu miwili mfulizo kanipiga K anachukua kwa kunifunga mechi ya mwisho, sasa nataka niwe bingwa msimu huu na kuchukua International zote nione mwisho wake vipi ..
Kupanda daraja hadi ununue au update uwanja wako.Hili gemu mbn Mimi naongoza Kila msimu lakini sipandi Daraja
Uwanja unaununua Kwa Coins kama ngapiKupanda daraja hadi ununue au update uwanja wako.
Inategemeana na divisionUwanja unaununua Kwa Coins kama ngapi
Uwanja unaununua Kwa Coins kama ngapi
Umetoka?Anayetaka kupasuka anishtue chap nimshuulikie View attachment 2319495
Bahati yako sanaHalafu likizo yangu inaisha leo kuanzia kesho ninakiwasha upya nataka nichomoe Spurs kwa misimu miwili mfulizo kanipiga K anachukua kwa kunifunga mechi ya mwisho, sasa nataka niwe bingwa msimu huu na kuchukua International zote nione mwisho wake vipi ..
Njoo now upigwe kipigo matata.Bahati yako sana
Nipe codeNjoo now upigwe kipigo matata.
Delle4 usikosee kitu ,haya twende chapNipe code
Njoo kama upo tayari sema nikupe code na tuweke time ya mwisho kusubiri
Poa lete codeNjoo kama upo tayari sema nikupe code na tuweke time ya mwisho kusubiri
Muoga wewe mbona hauonekani nimekaa kama dkk 2 haupo..Nipe code