Dream League Soccer Special Thread

adriz umepandisha hadi kisukari
Mimi ni Master wa gemu hili mechi ya kwanza huwa nasoma mchezo kinachofuata ni mafataki tu sina huruma.

Jamaa kila mechi lazima ale redcard na bila kucheza rafu mara kea mara asingetoboa hata gemu moja na angepigwa nyingi zisizo na idadi.
 
Alie tiyari twende code Innovator
Jamaa wewe unajua mpira tofauti na Fene au @Frustation japo una kikosi kidogo unacheza soka la ufundi mno kama Bayern ya Pep na ukiboresha kikosi kidogo utakuja kuwa mrithi wangu wa cheo cha Umaster humu.
 
Jamaa wewe unajua mpira tofauti na Fene au @Frustation japo una kikosi kidogo unacheza soka la ufundi mno kama Bayern ya Pep na ukiboresha kikosi kidogo utakuja kuwa mrithi wangu wa cheo cha Umaster humu.
Utakuwa na mda night kuanzia saa 4 tukiwashe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wewe unajua mpira tofauti na Fene au @Frustation japo una kikosi kidogo unacheza soka la ufundi mno kama Bayern ya Pep na ukiboresha kikosi kidogo utakuja kuwa mrithi wangu wa cheo cha Umaster humu.
Hahaha ngoja nisajili mapro sasa
 
Kesho kuna event inaanzia chama langu Napoli lipo nitaweka screenshot ya ubingwa panapo majaaliwa maana huwa siaachagi events kama hizi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…