Dream League Soccer Special Thread

Mda wowote ule nitag hapa na wewe uwe katika list ya waliochezea vichapo humu au kukimbia gemu kama privacy hakutokea tena baada ya kucheza mechi tatu na mimi kumfunga mmoja ya mwisho .

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..!!! Sawa sawa leo vipi utataka jaribu kufuta uteja?? fanya zoezi vizuri kisha narudi humu maana yawezekana kwenye hizo mechi tatu hata hiyo moja usiambulie zamu hii
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..!!! Sawa sawa leo vipi utataka jaribu kufuta uteja?? fanya zoezi vizuri kisha narudi humu maana yawezekana kwenye hizo mechi tatu hata hiyo moja usiambulie zamu hii
Tena wewe uwezo wako wa kuzuia kaunta mdogo sana ukija utapigwa mpaka uvunje na simu yako kea hasira.
 
Tena wewe uwezo wako wa kuzuia kaunta mdogo sana ukija utapigwa mpaka uvunje na simu yako kea hasira.

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hii mikwara hata Mandonga anasubiri aisee ila muda upo wewe anza na [mention]Fene [/mention] ukianza na mimi hutorudi tena online siku ya leo
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hii mikwara hata Mandonga anasubiri aisee ila muda upo wewe anza na [mention]Fene [/mention] ukianza na mimi hutorudi tena online siku ya leo
Kwa jinsi nilivyokuwa superpower natamani wenye gemu waweke kipengele cha kuchangiwa uwezo wangu naweza kupiga hata mtu tano kwa wakati mmoja.
 
Kwa jinsi nilivyokuwa superpower natamani wenye gemu waweke kipengele cha kuchangiwa uwezo wangu naweza kupiga hata mtu tano kwa wakati mmoja.
Hahahahahaa...!!! Kwamba mmoja mmoja unamuonea sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…