Mda wowote ule nitag hapa na wewe uwe katika list ya waliochezea vichapo humu au kukimbia gemu kama privacy hakutokea tena baada ya kucheza mechi tatu na mimi kumfunga mmoja ya mwisho .
Tena wewe uwezo wako wa kuzuia kaunta mdogo sana ukija utapigwa mpaka uvunje na simu yako kea hasira.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..!!! Sawa sawa leo vipi utataka jaribu kufuta uteja?? fanya zoezi vizuri kisha narudi humu maana yawezekana kwenye hizo mechi tatu hata hiyo moja usiambulie zamu hii
Oya adriz twenzetuTena wewe uwezo wako wa kuzuia kaunta mdogo sana ukija utapigwa mpaka uvunje na simu yako kea hasira.
Upo?
Poa hata kwangu ,Code Delle4
Kwahiyo failed?View attachment 2320449Halotel wanazingua ,ningesema Voda mda wowote inaplay
Ndio hapo haiwezi kuconnect tena huku nilipo mtandao shida usiku
Dah! Kikosi nilikinoa vizur sana kwaajil ya maangamizNdio hapo haiwezi kuconnect tena huku nilipo mtandao shida usiku
Tena wewe uwezo wako wa kuzuia kaunta mdogo sana ukija utapigwa mpaka uvunje na simu yako kea hasira.
Oya lete code twenzetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..!!! Sawa sawa leo vipi utataka jaribu kufuta uteja?? fanya zoezi vizuri kisha narudi humu maana yawezekana kwenye hizo mechi tatu hata hiyo moja usiambulie zamu hii
Kwa jinsi nilivyokuwa superpower natamani wenye gemu waweke kipengele cha kuchangiwa uwezo wangu naweza kupiga hata mtu tano kwa wakati mmoja.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hii mikwara hata Mandonga anasubiri aisee ila muda upo wewe anza na [mention]Fene [/mention] ukianza na mimi hutorudi tena online siku ya leo
Nami pia nafeli naona network janga, ikikaa sawa ntakucheki kama bado utakuwa available
Usiku mara nyingi inazingua kuanzia Alfajiri mpk jioni huwa haikwami.Nami pia nafeli naona network janga, ikikaa sawa ntakucheki kama bado utakuwa available View attachment 2320455
Hahahahahaa...!!! Kwamba mmoja mmoja unamuonea sioKwa jinsi nilivyokuwa superpower natamani wenye gemu waweke kipengele cha kuchangiwa uwezo wangu naweza kupiga hata mtu tano kwa wakati mmoja.