Hapo nina kikosi cha kawaida sana na wanakoma vibaya sanaDream league Soccer kushinda sio kikosi tu hadi namnna ya uchezeshaji na bahati, nafasi unaweza ukakosakosa then adui akaja mara moja tu tena nje ya box na akakufunga na game ikaisha kama utani, DLS hataki hasira ni akili tu basi kwani nguvu tumewaachia Pes na Fifa.
Hii ndio instrument yangu ya ushindi japo nafungwa pia pamoja na ubora wote huu wa kikosiView attachment 2104003
Huu ndio uchawi wa mfumo nilio ubuni "'Parching style" mpira unamiliki wewe lakini unapigwaTutacheza game moja ya mwisho ukinifunga hiyo nitakuita bingwa wangu rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu ndio uchawi wa mfumo nilio ubuni "'Parching style" mpira unamiliki wewe lakini unapigwaView attachment 2327494
Mapema mno kusurrender Cheki ramani yangu utagundua jinsi gani ninavyocheza na wapi pa kunikaba.
Basi hii kauli adriz naifuta wacha niendelee na mawindo jinsi gani nitakuangushaTutacheza game moja ya mwisho ukinifunga hiyo nitakuita bingwa wangu rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina mpango Kazi mzima wa kusajili na kuna vigezo maalumu vya kumleta mchezaji mfano sasa lengo langu ni mmoja tu ViniJr hapo timu yangu sitoongeza chochote kile.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee game nilivyoianza nikajua leo shega hususa kipind cha kwanza
Kwa hasira chapu nimeenda kuwaongeza wachezaj wangu power
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia njia gani kuongeza nguvu ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee game nilivyoianza nikajua leo shega hususa kipind cha kwanza
Kwa hasira chapu nimeenda kuwaongeza wachezaj wangu power
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na diamond za kutosha kama 1000 na ushee hiviUnatumia njia gani kuongeza nguvu ?
Kuna watu nahisi wanatumia mpk hela za kawaida kununua zile power maana unakuta mtu timu nzima iko full .
Duh!! mimi mbona sijawahi kufika hata diamond 💎 500 maana nazitumia chap tu.Nilikuwa na diamond za kutosha kama 1000 na ushee hivi
Zinapatika kwa kushinda vile vikombe kila msimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipa wangu Kotwaa kafikisha power 93 nikanunua golikipa kisha nikamtoa ili nipate skills ila cha ajabu wananiambia amefika maximumNilikuwa na diamond za kutosha kama 1000 na ushee hivi
Zinapatika kwa kushinda vile vikombe kila msimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna stage nikasema sitowaongeza power tena, nataka ushindi wa kihalali ndo zikalundikana hadi kufika 1000Duh!! mimi mbona sijawahi kufika hata diamond [emoji184] 500 maana nazitumia chap tu.
Na mimi makipa wangu wawili wote hivyohivyo mmoja 93 mmoja 95Kipa wangu Kotwaa kafikisha power 93 nikanunua golikipa kisha nikamtoa ili nipate skills ila cha ajabu wananiambia amefika maximum
Hakuna kihalali ,mimi nikipata diamond nihakikisha kila player ana maximum ili niwafunge watu kikatili maana kuna events nyingine natoka mapema kisa mpinzani ana power kubwa kea wachezaji .Kuna stage nikasema sitowaongeza power tena, nataka ushindi wa kihalali ndo zikalundikana hadi kufika 1000
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani events timu si wanakupa wao?Hakuna kihalali ,mimi nikipata diamond nihakikisha kila player ana maximum ili niwafunge watu kikatili maana kuna events nyingine natoka mapema kisa mpinzani ana power kubwa kea wachezaji .
Ila najitahidi nachukua makombe online events nikiwa na kikosi kisichokua na 90 hata mmoja kasoro kipa.
Hakuna kihalali ,mimi nikipata diamond nihakikisha kila player ana maximum ili niwafunge watu kikatili maana kuna events nyingine natoka mapema kisa mpinzani ana power kubwa kea wachezaji .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia ssahiv na mim sitorud nyuma, wacha niwajazeHakuna kihalali ,mimi nikipata diamond nihakikisha kila player ana maximum ili niwafunge watu kikatili maana kuna events nyingine natoka mapema kisa mpinzani ana power kubwa kea wachezaji .
Ila najitahidi nachukua makombe online events nikiwa na kikosi kisichokua na 90 hata mmoja kasoro kipa.
Zipo events unatumia timu yako Og na nimecheza hizo kama 10 na kitu hv tokea niwe na DLS 22 na nimeshakua winner 🏆 kama mara 4 au 5 wakati mwingine semi final ,final ,Quarter au round ya 1.
Akina nani wanakoma?Hapo nina kikosi cha kawaida sana na wanakoma vibaya sanaView attachment 2327488View attachment 2327489
Play fair be postive
Ni lazima ola likifunguka unaweza ukazima data hadi game ikaisha na unawasha tenaMm bado nacheza dls la 2019 nilijaribu la 2020 ikawa lazima uwena na bado
Hiv la 2022 band ni lazima??