Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Halafu umekuja kuniponda hapa nikajua labda wew ktk lig una maajabu

Ile aibu ile yani umecheza gem 21 una points 10 [emoji23][emoji23] dah!
Afadhali mim mara 100
Hakuna cha afadhali hapo mimi problem wachezaji tu na nikiogeza power nipate kama wako sitashikika.
 
Code Delle4 chap
Fene unalolote la kuwaambia mashabiki coz kila siku umekua kiande wangu humu.
Screenshot_20220830_233308.jpg
 
Tukamalize ubishi kwa kuzipiga hizo game tatu sasahiv tutakutana tena Jumanne ijayo

Hiyo tuliocheza hatuihesabii
Twende yaani nikicheza na wewe najiamini kichizi sema kama unakuja .
 
Ya tatu Fene umeshinda Nne kwa 1 hata kama ola nimekupita points hadi magoli.
 
Ni mimi umevamia mchezo subiri nimshughulikie huyubdozi yako itafuatia.
Kwa kweli poleni.
Nliona umetoa code na sikuona opponent akikujibu kwenye thread nikasema nisikuache uwe bored.
 
Back
Top Bottom