Hakuna cha afadhali hapo mimi problem wachezaji tu na nikiogeza power nipate kama wako sitashikika.Halafu umekuja kuniponda hapa nikajua labda wew ktk lig una maajabu
Ile aibu ile yani umecheza gem 21 una points 10 [emoji23][emoji23] dah!
Afadhali mim mara 100
Poa halafu tuje kupanga hapa lini inapigwa gem ya kumtafuta mwamba hapaTuruke now friend match chap.
Code Delle4 chapPoa halafu tuje kupanga hapa lini inapigwa gem ya kumtafuta mwamba hapa
Tukamalize ubishi kwa kuzipiga hizo game tatu sasahiv tutakutana tena Jumanne ijayoFene unalolote la kuwaambia mashabiki coz kila siku umekua kiande wangu humu.View attachment 2340476
Twende yaani nikicheza na wewe najiamini kichizi sema kama unakuja .Tukamalize ubishi kwa kuzipiga hizo game tatu sasahiv tutakutana tena Jumanne ijayo
Hiyo tuliocheza hatuihesabii
Poa twenzetuTwende yaani nikicheza na wewe najiamini kichizi sema kama unakuja .
Barid haushindi hata mechi moja ,Code ile ilePoa twenzetu
We adriz vp umekimbia au?Barid haushindi hata mechi moja ,Code ile ile
Huyu ni naniFene unalolote la kuwaambia mashabiki coz kila siku umekua kiande wangu humu.View attachment 2340476
Hapana kuna muhuni kavamia code ghafla nikakutana na timu shamba la bibi .We adriz vp umekimbia au?
Poa twenzetu tukamalizieHapana kuna muhuni kavamia code ghafla nikakutana na timu shamba la bibi .
Huyu ni naniView attachment 2340501i
Twende chap privacy kaweka code akawahi mechi twende now sema kama unaenda.Mbona unazingua adriz kwani tumekubaliana vp?
Ni mimi umevamia mchezo subiri nimshughulikie huyubdozi yako itafuatia.Huyu ni naniView attachment 2340501
Kwa kweli poleni.Ni mimi umevamia mchezo subiri nimshughulikie huyubdozi yako itafuatia.
Tondoke tena, mtandao ulinizinguaNi mimi umevamia mchezo subiri nimshughulikie huyubdozi yako itafuatia.