alpha walk
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 215
- 206
alaf angalia scoreboard hahah ila hata mm kwangu ilikuwa inaganda gandaSimu ilikua ina stuck angalia statistics
Acha kujisifia ujinga mechi tumecheza dk 10 na kitu mtandao umegoma unajisifia onyesha wafaungaji wa hizo goli mbili ...kwanza la kwanz players walikuwa wamesimama ndio maana gemu nikaona bora niQuit tu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji23] mkuu umetoa timu uwanjaniView attachment 2365107
Weka code twende rematchalaf angalia scoreboard hahah ila hata mm kwangu ilikuwa inaganda ganda
Wewe umepigwa kihalali mpk extra mmeenda ni aibu kubwa hii mgeni kuchukua points kwako dharau hii ilibidi akaribushwe kwa kipigo matata.Simu ilikua ina stuck angalia statistics
Nimechange line ya Data Weka code nikunyooshe..alaf angalia scoreboard hahah ila hata mm kwangu ilikuwa inaganda ganda
usimind kaka nakuzingua tu hata mimi pia ilikuwa inaganda hata ndugu yangu niliyecheza nae mwanzo pia nimemwambia ina stuck sanaAcha kujisifia ujinga mechi tumecheza dk 10 na kitu mtandao umegoma unajisifia onyesha wafaungaji wa hizo goli mbili ...kwanza la kwanz players walikuwa wamesimama ndio maana gemu nikaona bora niQuit tu.
bac kesho panapo uhai maana kwa sasa cm yangu imekata chaj mzeeWeka code twende rematch
Sijamind mimi humu Master na ndio King 👑 wao ndio maana sitaki watu wachafue CV yangu maana mm ninaongoza kutoa kipigo kikubwa humu 6 nikimfunga Fene pamoja na rekodi nyingine nyingi humu.usimind kaka nakuzingua tu hata mimi pia ilikuwa inaganda hata ndugu yangu niliyecheza nae mwanzo pia nimemwambia ina stuck sana
Kama umepigwa na mgeni si itaenda kucheza makida ?BQCGYJ
mkuu uko fresh tupige rematch chap?BQCGYJ
chief uko fresh?Kama umepigwa na mgeni si itaenda kucheza makida ?
Toa code tuchezechief uko fresh?
nipe wewe code mzeeToa code tucheze
Golinipe wewe code mzee
Tucheze tenanipe wewe code mzee
mtandao naona unasumbua imeji-cancel...ila mzee wangu wachezaji umewajaza kama kitu gan[emoji1][emoji1][emoji1]Goli
[emoji3][emoji3]nina kikosi kipanamtandao naona unasumbua imeji-cancel...ila mzee wangu wachezaji umewajaza kama kitu gan[emoji1][emoji1][emoji1]
dah sikupingi sema ntakukamata tu,nipe code nijaribu tena[emoji3][emoji3]nina kikosi kipana
Link ya group letu whatsapp[emoji116]Weka code twende rematch