Kweli kabisa japo na mapungufu yake yote ukiweka kwenye mzani mmoja Dream na magemu mengine DLS ina uzito mkubwa na wenyewe wametengeneza special kwa simu ndiyo maana ipo simple . Nawapa kongole waliotengeneza wakiendelea kujiimarisha watazidi kutawala kwenye upande kwenye gemu.All in all DLS ndio game bora kwenye android yaani yatakuja magame yooote yataondoka lakini DLS itasimama.....
akadownload apk yake google au adownload aptoid na akadanlodie hukoUnatumia sim aina gani
kama play store hulioni, basi downloa aptoid kama mbadala wa play storeKwangu Silioni Yanakuja Real Football Na Pes Lenyewe Sioni Sijui Vp
Beki mbovu ni black men, hawakabi na utakuwa unafungwa sanaTatizo wanao tumia masandawana niwengi wa kibongo lete code mkuu tukiwashe
cm gani inayokataa DLS?Maana Kuna baadhi ya simu huwa halikubali
Ndio maana mwaka hadi mwaka wanaboresha, saizi nackia wanataka kuweka hadi press ya makocha kabla na baada ya matchKweli kabisa japo na mapungufu yake yote ukiweka kwenye mzani mmoja Dream na magemu mengine DLS ina uzito mkubwa na wenyewe wametengeneza special kwa simu ndiyo maana ipo simple . Nawapa kongole waliotengeneza wakiendelea kujiimarisha watazidi kutawala kwenye upande kwenye gemu.
Kama nn?Hili game tamu sana.
Umetoka online?Aliopo online turuke majoka chap
TwendeUmetoka online?
Twende
Mi kikosi kidogo bwana usije kuninyandua kumiQode yako ipi?
Hamna sema na leo voda mtandao uko chini sana. 4G ila bado inasumbua, nitajie code tujaribu. Mm nina mane,bale,firimino na immobile tu pale mbeleMi kikosi kidogo bwana usije kuninyandua kumi
Ngoja nikutumie kikosi coz nilipoteza kikosi changu Cha mwanzoHamna sema na leo voda mtandao uko chini sana. 4G ila bado inasumbua, nitajie code tujaribu. Mm nina mane,bale,firimino na immobile tu pale mbele
PoaNgoja nikutumie kikosi coz nilipoteza kikosi changu Cha mwanzo
Chek sasa siutaniuwaHamna sema na leo voda mtandao uko chini sana. 4G ila bado inasumbua, nitajie code tujaribu. Mm nina mane,bale,firimino na immobile tu pale mbele
Sio mbaya kizuri ila beki na viungo bado upo level gani?Chek sasa siutaniuwaView attachment 2103999