Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Mtandao tu magoli ya kwanza na mm nikawa sifungi ,mida yangu saa 4 kuanzia hapo unakaa poa ukinifunga nitakubali ,ila nakutahadharisha kichapo cha aibu.Haya unanipa ufalme wangu au mpaka nije nikupige 9
Sawa utaniita,maana pale nimekuonea huruma nikawa hadi najikosesha magoli nadhani umeona ile ya haaland nikaamua kuichop tu itokeMtandao tu magoli ya kwanza na mm nikawa sifungi ,mida yangu saa 4 kuanzia hapo unakaa poa ukinifunga nitakubali ,ila nakutahadharisha kichapo cha aibu.
Naongea tena kwa kujiamini wewe wakawaida sana ,kikosi chaki kinanyumbulika kiasi ambacho hata waanzilishi wa hili gemu hawawezi kupona .Sawa utaniita,maana pale nimekuonea huruma nikawa hadi najikosesha magoli nadhani umeona ile ya haaland nikaamua kuichop tu itoke
[emoji16]Utakuja jifia vibaya sanaNaongea tena kwa kujiamini wewe wakawaida sana ,kikosi chaki kinanyumbulika kiasi ambacho hata waanzilishi wa hili gemu hawawezi kupona .
Natamani niletewe bingwa wa dunia wa gemu hili kama yupo nijipime ubavu maana sioni wa kunipa upinzani kwa sasa worldwide.
Naona kama uje now tumalize kabisa gemu 2 maana net ipo poa au vipi ?[emoji16]Utakuja jifia vibaya sana
Basi saa 22 : 05 uwe online usikimbie tu .[emoji16]Utakuja jifia vibaya sana
Na matokeo tunapost humuBasi saa 22 : 05 uwe online usikimbie tu .
Yah ruhusa kabisa.Na matokeo tunapost humu
Tayari wewe tu.njoo
Muoga; umekaa online muda machache na kusepa chap.njoo
Ah! WapMaster nauliza nani mwingine anahitaji kichapo na kudai ufalme humu ? Kiande Fene nimeshamshona mdomo.
Haijawahi kutokea bonge mechi ,Halaand ilibidi amalize mapema akagonga nguzo dkk za majeruhi kisha ukachomoa dkk za Mareruhi tena Neymar akashinda kiulaini baada ya purukushani huku ulianza dhihaka za emoji wakati haujavuka mtoa.Ah! Wap
Sema hii game ilkuwa kama 2022 world cup final
Sema janja siku hiz unajitahid kupiga boli kiasi, japo kuna makosa nayaona nikikuelekeza hayo hadi huyo Singasinga hatakusumbua tenaView attachment 2596921
Swali zuriKwani nyie mnafanyaje mpaka mnapata coin za kununua wachezaji wakubwa kwangu Mimi mbona nashindwa kabisa.
Ndio Bora watuelekeze buana maana Mimi nacheza nashindwa kabisa mchezaji WA ghali unakuta mmoja ni coin 920 Kila mmoja wale wachezaji wakubwa halafu unakuta mtu ana team ametengeneza wachazaji wote ni kuwango Cha juu mmewezaje? Nalipenda sana hili gameSwali zuri
Kwanza unatakiwa u upgrade kiwanja chako hadi uweze ingiza 85000 fansKwani nyie mnafanyaje mpaka mnapata coin za kununua wachezaji wakubwa kwangu Mimi mbona nashindwa kabisa.