Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Ndugu huwa nalitumia sana hili game lakini tangu nilivyo update to 2022 halitaki kabisa kuplay na kama nikibahatika kuplay nacheza kwa tabu maana ina stuck sana na muda mwingine kutoweka ghafla.....shida inaweza kuwa nini wataalamu....??


Hili game ndio ugonjwa wangu pindi nipatapo muda wa kutulia.....
Hata mimi nme update sasa hivi siwezi kucheza lina stuck
 
Asante kwa ushauri nadhimu
Hata mimi nili install kama mara mbili likawa linagoma kuplay nikafuta nilikasirika maana nilitumia zaidi ya Mb kama 400 ikaja kukubali mdau wangu aliponirushia mafaili kupitia xender , na akaniambia ukitaka licheze kwa mara ya kwanza baada ya kudownload usizime data mpk mkifika uwanjani baada ya hapo unapeta free

Oya wajomba kuna mdau aliwahi kuanzisha thread na huwa inanitokea mara nyingi wakati ninacheza dream league dushe linafura kitaalamu imekaaje na vp upande wenu inawatokeaga hii ?
Dushe kwa maana ipi?
 
game lenyewe 2b bado uanze ku download mavitu mengne meng meng [emoji23][emoji23] alafu ni karbia kila muda wana kwambia u update hayo madude.

bora ni baki dls japo kuwa nalo ni jepesi lakn bora lenyewe halina mambo mengi.

Me napenda kwenye Dls wangeongeza baadhi ya vitu kama

1.idadi ya timu kwenye ligi kutoka 16 mpk 20
2.pia kuwe na mzunguko wa pili wa mechi siyo mmoja.

3.pia waweke team za ujeruman

4.Wafanye liwe lina ku challenge cyo me ndo nalipa challenge.

Me ckuiz nimeamua kucheza na kikos chenye overall kuanzia 50 ili tu nipate kuangaika kushinda ligi.

Ila sema nn hili 2022 lina kaugumu kake hutoboi kama huna top player [emoji23][emoji23]
Hahah pia wajitahidi waweke SKIP kwenye mechi hahahah

Ila nshangaa hata Bayern Munich haipo hapo wamefeli.,
 
Hahah pia wajitahidi waweke SKIP kwenye mechi hahahah

Ila nshangaa hata Bayern Munich haipo hapo wamefeli.,
😂😂😂 afu waongeze ligi nyingne watoe National League haiwezekan club icheze na timu ya taifa yan Messi wa psg acheze na Messi wa Argentina 😂😂
 
Mnaocheza hili game sijui mnalisifia nini maana sifa pekee ya hili game ni size ila linakasoro nyingi
1; wajaboresha kabisa tackling yani adui akikupita huwez kumkaba tena
2; wachezaj mwonekano wao sio real labda names tu
3; update hii ya 2022 online playing imefanya game liwe zito sana shida inayofanya game li stuck sana
4; swala la logo na kits bado sana kwa DLS labda kama uta weka patch zako mwenyewe
Game kama FTS 15 lilikua ni game zuri sana kama wangeweza kuliendeleza nadhani lingekuwa one of the best football game
 
[emoji23][emoji23][emoji23] afu waongeze ligi nyingne watoe National League haiwezekan club icheze na timu ya taifa yan Messi wa psg acheze na Messi wa Argentina [emoji23][emoji23]
Hahah hapo umesema mkuu..[emoji23][emoji23]
 
Nimelicheza sana 2015-2018 nimelikinai
Kipindi kile lilikua offline halafu graphics zilikua za kishamba na pia hakukua na maujanja flani hivi mfano sahivi mpira ukitoka mchezaji anaenda kurusha bila kamera kuzima na kuanzia mchezaji amarusha yaani tukio unaliona kama upo kwenye TV.. Acha kabisa dream league ni best of the best
 
Hata kimbia ya PES ni kama roboti fulani hivi ananesanesa na hawachangamki kama dream league. Hili game kama live tu hasa kamera ukiweka 70 80 90 na 100 unaona pande zote. Kikubwa zaidi DLS halisumbui mtandao mda wa kucheza na ndio maana hame ikiingia tu uwanjani unazima data na unacheza hadi mwisho game ikiisha unawasha na unaendelea. Hii inasaidia hata simu kuwa nyepesi wakati wote kwa sababu simu hafanyi kazi nyingine ya internet. Mambo ya connection failed,network error,no connection huku hayapo .kwa hiyo tunaposema dream league ni zaidi ya game tunamaana yetu.
Ataepinga ni mchawi
 
Kweli kabisa tangu 2016 nilipoanza kucheza DLS kante ndiye mchezaji bora ever.. Ila staraika hatari ni messi
Sijawahi kumchukua mess wala Ronaldo, mm huwa nampenda sana Bale na Neymar ila saizi nina immobile na firmino
 
Kipindi kile lilikua offline halafu graphics zilikua za kishamba na pia hakukua na maujanja flani hivi mfano sahivi mpira ukitoka mchezaji anaenda kurusha bila kamera kuzima na kuanzia mchezaji amarusha yaani tukio unaliona kama upo kwenye TV.. Acha kabisa dream league ni best of the best
Hahahaha tena namwambia aende setting na camera mode aweke TV noma kweli
 
Mnaocheza hili game sijui mnalisifia nini maana sifa pekee ya hili game ni size ila linakasoro nyingi
1; wajaboresha kabisa tackling yani adui akikupita huwez kumkaba tena
2; wachezaj mwonekano wao sio real labda names tu
3; update hii ya 2022 online playing imefanya game liwe zito sana shida inayofanya game li stuck sana
4; swala la logo na kits bado sana kwa DLS labda kama uta weka patch zako mwenyewe
Game kama FTS 15 lilikua ni game zuri sana kama wangeweza kuliendeleza nadhani lingekuwa one of the best football game
1. Fowad akitangulia humkuti.
Inawezekana usimkute kutokana na beki yako au umbali wa fowad aliokuacha. Ila ukisajiri beki kama Varane hapiti mtu labda akupige chenga au fowad akuache sana hasa game ukiweka attacking Maana beki zinapanda sana.
2. Graphics sio nzuri.
Hapa umedanganya sana na uombe msamaha. Hakuna game yenye realistic kushinda DLS hadi sasa hapa duniani. Graphics inategemea FRP umewekaje na nakushauri kaweke 60FRP ule bata achana na Pes na Fifa kwani wao nguvu nyingi wanatumia kwenye pc.
3. Game nzito na kugandaganda.
Tatizo hili limeelezwa na wengi na linatatulika. Nenda setting kaweke Quality Low na 60 FRP kwani simu yako itakuwa itel hiyo yenye internal memory 4GB na 500mb ram. Ila ww nenda kaset Graphics na itaendana na cm yako.
 
Back
Top Bottom