Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
- Thread starter
- #481
Ulipata advantages mbili 1 ubora wa kikosi chako na 2 ni ubora wa internet yako na ndio maana nimekuambia nitasajiri voda kwa ajiri yako @
We tafuta gemu la kucheza hata kupanga viboksi yaani haiwezekani nacheza na kukufunga huku nakuhurumia halafu wewe eti ndio muanzilishi wa huu uzi😂😂😆