Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchizi kaweka mpk namba yake 😆😆Mzenji alipigika[emoji38]View attachment 2301081
Vp matokeo yalikiajeMchizi kaweka mpk namba yake [emoji38][emoji38]
Halafu timu yako nimewahi kikutana nayo Online sio mara moja.
Timu yako michezaji yote ina bluu ndio maana ulikuwa unanifunga tena kwa bahati nasabu kwa vile kikosi changu kulikuwa kidogo.Vp matokeo yalikiaje
Turuke now maana nina hasira na kitimu chako nikiona jina napata mzuka wa kukipiga nyingiVp matokeo yalikiaje
Hahaha, sema nimebadili simu so nimeanza upya academy levelTimu yako michezaji yote ina bluu ndio maana ulikuwa unanifunga tena kwa bahati nasabu kwa vile kikosi changu kulikuwa kidogo.
Ingekuwa kuna uwezekano wa kuanzisha ligi au challenge wengi online ungekuwa poa ..Kwnn tysifungue group la wahtsapp
Wewe ukija nakipinga si chini ya mbili 😂😂😆
Jamaa huyo hatari sana labda alilewa ..
Hajalewa nimesajili na mtandao ulikuwa vizuri sanaJamaa huyo hatari sana labda alilewa ..
Ww wakunifunga mm kweli? Dunia hii maajabu hayaishiJamaa huyo hatari sana labda alilewa ..
Twende now nikakuaibishe kama upo tayari sema.Ww
Ww wakunifunga mm kweli? Dunia hii maajabu hayaishi
Wewe kama Mandonga tu mbembwe nyingi unapigika kirahisi mno.Ww
Ww wakunifunga mm kweli? Dunia hii maajabu hayaishi
Kwa sasa ule uteja baasi. This time utaipenda mwenyewe angalia ball poses ilivyo dimba nililikamata na wote tulikuwa tunacheza kati zaidi i.e ni ufundi tu na mbinu nimemtangulia ila mtu kama ww utapigwa hadi uchanikeWewe ukija nakipinga si chini ya mbili 😂😂😆
Wewe kama Mandonga tu mbembwe nyingi unapigika kirahisi mno.
Utakuja kuniomba msamaha hapa au utasema usiposti hapa matokeoWewe kama Mandonga tu mbembwe nyingi unapigika kirahisi mno.
Mimi pasi mbili golini naweza nikawa na possession 30% lakini nampiga mtu nyingi.Kwa sasa ule uteja baasi. This time utaipenda mwenyewe angalia ball poses ilivyo dimba nililikamata na wote tulikuwa tunacheza kati zaidi i.e ni ufundi tu na mbinu nimemtangulia ila mtu kama ww utapigwa hadi uchanike
Kwa code gani?Twende now nikakuaibishe kama upo tayari sema.