Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Haa sawa sema saizi mtandao unasumbua ningekuonyesha namna ya kuwa mpole wa maneno yaani kwa lugha nyepesi ni kukushikisha adabu
Mimi hata nikiwa na kikosi cha academy division wewe una world class players utoboi 😆😆😂
 
Kwenye event mpya online nimevuka round ya kwanza sasa nipo semi final nataka kuhakikisha nachukua ndoo.

Mechi ya kwanza nilikutana na bonge la mpinzani mwenye kikosi kilicho kamilika baada ya kucheki kikosi chake nikatumia mfumo wa beki 5 huku nikitumia kaunta dk 90 ilisha 2-2 extra akafunga la tatu nikarejesha dakika ya mwishoni kabisa .Tunaenda matuta nikamshinda.

Hatua inayofuata nitacheza kesho panapo majaaliwa nikisubiri Kante apone .
Screenshot_20220801_152954.jpg
 
Frustration nicheki Master ninavyoupiga mwingi yaani nimezidiwa possession kwa asilimia kubwa lakini mtu kafungwa kwa kaunta zangu matata na nimetinga robo fainali.Na alikuwa anakula nyingi maana nimepiga ontarget 4
Screenshot_20220802_074425.jpg
Screenshot_20220802_074507.jpg
 
Ww
Bando langu la mwezi limekata njiani sasa nipo utawala wa Freebasic natamani siku niplay na mwana Jf humu ila kila nikiwa tayari watu hawapo tayari.
Ww usijali one day sana tu
 
Ww

Ww usijali one day sana tu
Nilikuwa kwenye online events fainali nikakutana na timu kali sana kpnd cha kwnz tukatoka mojamoja nikatoka kuchukua screenshot ya statistics ikajizima bahati mbaya na Kombe nikakosa kizembe kwa hasira nimejiona likizo ya siku 5 mpk J5 nitarudi tena kuwafundisha watu gemu.

Wewe hata uwe na kikosi cha Dunia sahau kunifunga.
 
Nilikuwa kwenye online events fainali nikakutana na timu kali sana kpnd cha kwnz tukatoka mojamoja nikatoka kuchukua screenshot ya statistics ikajizima bahati mbaya na Kombe nikakosa kizembe kwa hasira nimejiona likizo ya siku 5 mpk J5 nitarudi tena kuwafundisha watu gemu.

Wewe hata uwe na kikosi cha Dunia sahau kunifunga.
Hapa sasa hivi nimenunua uwanja wa legendary kwa hiyo kazi iliyobaki ni players tu. Nitanunua wachezaji wazuri na ni hatari sana nitakuwa
 
Hapa sasa hivi nimenunua uwanja wa legendary kwa hiyo kazi iliyobaki ni players tu. Nitanunua wachezaji wazuri na ni hatari sana nitakuwa
Hii mechi fainali iliniuma sana kulose bila kucheza kipindi cha pili
Screenshot_20220802_091210.jpg
 
Hii formula ya kudefense na kupiga counter huwa hachomoki mtu na naitumia ninapocheza online events maana nakutanaga na timu zenye wavmchezaji wakubwa na wachezaji wenye power kuanzia 90 wengi .
Screenshot_20220802_080745.jpg
 
Kwa hiyoj unaamini ungeshinda?
Ilikuwa moja ya mechi kali tokea nianze kucheza events hata mwenyewe alikubali kaunta yaani ilikua piga nikupige hata filimbi ya half time kila mtu alitamani gemu iendelee.

Kushinda ni uhakika kwangu coz ni Master na ndio maana nikajipa ban ya siku tano na zaidi kutokana na uzembe wangu gemu kutoendelea.
 
Back
Top Bottom