Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipe code tucheze
1617Bnipe code tucheze
umejitahid ila wewe ni mgeni sio?1617B
Yap ndo natengeneza kikosiumejitahid ila wewe ni mgeni sio?
safi sanaYap ndo natengeneza kikosi
mkuu vp umepoteaMbona hamtokei wakati mnanisumbua kiniQuote ?
Jiunge grupu letu la telegram itakuwa rahisi kupatikana .mkuu vp umepotea
Link ya group mbona inagoma?Jiunge grupu letu la telegram itakuwa rahisi kupatikana .
Singasinga akupe muongozoMbona nashindwa kuadd prof.dat ktk tablet yangu?
Nikienda storage,android,data nakuta empty
Msaada
Mbona simpati huyu jamaa aseeeehSingasinga akupe muongozo
Yupo huyu ndio admin wa grupu la DLS22 ana uzoefu mwingi vilevile CHIEF MKWAWA naye mtaalamuMbona simpati huyu jamaa aseeeeh
Wewe humu ndio kiande wa mwisho ,hivi unakumbuka mara ya mwisho nilikupiga ngapi ?Hamna wa kumfunga nimejinoa
hiyo inatokana na nguvu ya internet ya simu yako pia angalia mawe ya mtandao utaona green au red? Green strong network na RED ni weak internet strengthWakulungwa mi online kuna changamoto moja nakutana nayo; naweza nikawa na mpira nishapress B kutoa pasi mchezaji wangu anakuwa kama anaganda mpaka opponent wangu anakuja anachukua mpira, au unakuta nakaba mchezaji wangu anamfuata opponent ila akimkaribia anakuwa kama anavutwa kurudi nyuma hivyo hakabi, je issue ni internet au jamaa ndo wanatumia cheats? Na kikosi ninacho kizuri tu so sitaki kuamini kuwa labda mchezaji wangu ana rating ndogo kuliko anayepambana nae.View attachment 2433216
Dah mi siku zote nikicheza hii game online internet huwa changamoto na ninatumia voda ila hivyo hivyo huwa nashinda na sometimes nachapwa. Ligi tu ndo huwa haisumbui😢 ila hilo suala la beki wangu kuwa kama anavutwa kurudi nyuma hata kwenye ligi sometimes huwa linatokeahiyo inatokana na nguvu ya internet ya simu yako pia angalia mawe ya mtandao utaona green au red? Green strong network na RED ni weak internet strength
Pia nimegundua kwenye ligi computer ikiazima mchezaji eg. Kane akachezea Man U basi kushinda hiyo mechi huwa ni ngumu sana. Cjui kwa wenzangu labda mie ni kibonde sana😀hiyo inatokana na nguvu ya internet ya simu yako pia angalia mawe ya mtandao utaona green au red? Green strong network na RED ni weak internet strength
kama game ulirusha kwa xender itabid urushiwe na obb data inapatikana phone au external memory -adroid -obb -dls kwa aliyekurushia na ikiingia kwako lazima ukatoe toka xender-others-obb -dls na ukapaste kwenye obb yako. fanya hivyo kama uli extract kwa zipfileMbona nashindwa kuadd prof.dat ktk tablet yangu?
Nikienda storage,android,data nakuta empty
Msaada