herio
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,245
- 4,320
Niambie mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie mkuu
Sitaki magroup mengi wa sasa kwani ninalo la Singasinga kuna watu kutoka mataifa mbalimbali competition kubwa nikilichukua kombe huko nitahamia kwengine.Njoo uchallege na WA Nigeria umu😀😀
![]()
Leta link ya singa singaSitaki magroup mengi wa sasa kwani ninalo la Singasinga kuna watu kutoka mataifa mbalimbali competition kubwa nikilichukua kombe huko nitahamia kwengine.
Sina ujuzi wa kuchukia link ngoja nimuite Singasinga aje akupe.Leta link ya singa singa
Njoo tupashe nina mzuka mwingi mno.Leta link ya singa singa
Usijichimbie ukatoka kitambi sasa mfalme nimerudi humu nataka nianze na wewe kutoka dozi .Twende mzee
Hiko sina mwenue nyota isipokuwa kipa.Screenshot kikosi tuone
Kwa Singasinga kwenyewe ulishakimbia kitambo sana[emoji23][emoji23][emoji23]Sitaki magroup mengi wa sasa kwani ninalo la Singasinga kuna watu kutoka mataifa mbalimbali competition kubwa nikilichukua kombe huko nitahamia kwengine.
Hapana nilijipa likizo fupi wakati narudi kuupdates likakataa ikachukua muda jana nimerestore simu nikaliweka upya,kule uliza tournament ya mwisho nilifanya wonders gani na kikosi changu dhidi ya full nyota mpaka nikatolewa michuano kwa figusu ,sasa nimerudi hakuna sehemu watakaobaki salama vipigo tu.Kwa Singasinga kwenyewe ulishakimbia kitambo sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikiitaji kujiunga kwenye tournament zenu inakuaje maana nimecheza level zoteHapana nilijipa likizo fupi wakati narudi kuupdates likakataa ikachukua muda jana nimerestore simu nikaliweka upya,kule uliza tournament ya mwisho nilifanya wonders gani na kikosi changu dhidi ya full nyota mpaka nikatolewa michuano kwa figusu ,sasa nimerudi hakuna sehemu watakaobaki salama vipigo tu.
Hii ni lini mbona ulikuwa wapi sikuzote mpk uje upost leo ? jibu ndani ya siku hiyo ulikutana na kichapo kikali kiasi ambacho ukaona aibu hata hii kupost.Ukiambatanisha na hii itakuwa vyema zaidiView attachment 2545181
Usiku huu mechi 5 bao 17 vichapo 4 bado unapata nguvu ya kuja huku ? 😂 😂 😂Ukiambatanisha na hii itakuwa vyema zaidiView attachment 2545181