Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapigwa kama Ngoma [emoji28]
Saa 4 kuwa available tumalize ubishi , ninaposema Mimi ni Master humu sitanii..Utapigwa kama Ngoma [emoji28]
Hapa nilipo network sio stable kucheza live match Ila mchana nikiwa job kuna network ya 5g.. aisee utapigwa kama mwanaccm anayeisifia DP world mbele ya mzalendoSaa 4 kuwa available tumalize ubishi , ninaposema Mimi ni Master humu sitanii..
Leo nimekuaibisha nafukua makaburi ,haya ngoja nitimize ulichokisema..Kuanzia leo tutakua tunapost mechi zetu zote tunazokutana ili kuweka records sawa.
Muonee Fene sio mimi ,kauli zako zimekuponza leo nimekuaibisha wewe ndio ulikuwa unatamba humu na ulikuwa bingwa sasa kiko wapi baada ya kukutana na Master ?[emoji16]Labda mtafute mwingine wa kunivua ufalme hapa ila sio wewe wala mnyonge wangu wa kudumu adriz
Kama kweli umajiweza nenda download kupitia playstore 😂😂😂Halafu cheki hizo coins hapo View attachment 2705621
Kesho mchana nicheki kikukarabati saa 8 kamili mchana
🤔 Uzur nyote kipigo chenu tayar nimekiandaMuonee Fene sio mimi ,kauli zako zimekuponza leo nimekuaibisha wewe ndio ulikuwa unatamba humu na ulikuwa bingwa sasa kiko wapi baada ya kukutana na Master ?
Mimi ndio naheshimisha huu uzi yeyote atayejidai bingwa namfunga mdomo .Natuma salamu kwa waliobaki.View attachment 2705612
Lete codeDakika ya 56 mtu kala 10-0 aka lala mbele[emoji23][emoji23] anae taka matibabu ajeView attachment 2705614
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Futa ilo tushatoka huko 2019 kurud chinHalafu cheki hizo coins hapo View attachment 2705621
Njoo now.Lete code
Wewe nisha kupiga 6Muonee Fene sio mimi ,kauli zako zimekuponza leo nimekuaibisha wewe ndio ulikuwa unatamba humu na ulikuwa bingwa sasa kiko wapi baada ya kukutana na Master ?
Mimi ndio naheshimisha huu uzi yeyote atayejidai bingwa namfunga mdomo .Natuma salamu kwa waliobaki.View attachment 2705612
Ukiweka hiyo screenshot naacha kutumia Jf , wewe haujawahi kunifunga ila bahati nzuri mimi kila mtu nikimfunga napost humu na risiti yako ipo niliyokupiga nyingi mpaka ukakimbia huu uzi nangoja ubishe nianze kupekua humu nifukue makaburi.
Tuma code twende chap nowUkiweka hiyo screenshot naacha kutumia Jf , wewe haujawahi kunifunga ila bahati nzuri mimi kila mtu nikimfunga napost humu na risiti yako ipo niliyokupiga nyingi mpaka ukakimbia huu uzi nangoja ubishe nianze kupekua humu nifukue makaburi.