Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Saa 4 kuwa available tumalize ubishi , ninaposema Mimi ni Master humu sitanii..
Hapa nilipo network sio stable kucheza live match Ila mchana nikiwa job kuna network ya 5g.. aisee utapigwa kama mwanaccm anayeisifia DP world mbele ya mzalendo
 
Kuanzia leo tutakua tunapost mechi zetu zote tunazokutana ili kuweka records sawa.
Leo nimekuaibisha nafukua makaburi ,haya ngoja nitimize ulichokisema..
Screenshot_20230801-234937.png
 
[emoji16]Labda mtafute mwingine wa kunivua ufalme hapa ila sio wewe wala mnyonge wangu wa kudumu adriz
Muonee Fene sio mimi ,kauli zako zimekuponza leo nimekuaibisha wewe ndio ulikuwa unatamba humu na ulikuwa bingwa sasa kiko wapi baada ya kukutana na Master ?

Mimi ndio naheshimisha huu uzi yeyote atayejidai bingwa namfunga mdomo .Natuma salamu kwa waliobaki.
Screenshot_20230801-234652.png
 
Muonee Fene sio mimi ,kauli zako zimekuponza leo nimekuaibisha wewe ndio ulikuwa unatamba humu na ulikuwa bingwa sasa kiko wapi baada ya kukutana na Master ?

Mimi ndio naheshimisha huu uzi yeyote atayejidai bingwa namfunga mdomo .Natuma salamu kwa waliobaki.View attachment 2705612
🤔 Uzur nyote kipigo chenu tayar nimekianda
 
Ukiweka hiyo screenshot naacha kutumia Jf , wewe haujawahi kunifunga ila bahati nzuri mimi kila mtu nikimfunga napost humu na risiti yako ipo niliyokupiga nyingi mpaka ukakimbia huu uzi nangoja ubishe nianze kupekua humu nifukue makaburi.
Tuma code twende chap now
 
Back
Top Bottom