Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Nasikia Kibonde adriz kakufanya kitu Mby Laana

Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
Fene huu uzi kwake umeshakuwa mchungu huwezi kumuona akija humu kwa vipigo nilivyompa yaani mechi tano kashinda 1 hiyo jana na kabla ya hapo nilikuwa tena nimempa kipondo kwa hiyo ilibidi jana alipe kisasi ila kikamkuta kipondo.

Kwa sasa siwezi cheza nae bila barua kutoka vyombo vya usalama nijise kukamatwa kwa kosa la uonevu .
 
Fene huu uzi kwake umeshakuwa mchungu huwezi kumuona akija humu kwa vipigo nilivyompa yaani mechi tano kashinda 1 hiyo jana na kabla ya hapo nilikuwa tena nimempa kipondo kwa hiyo ilibidi jana alipe kisasi ila kikamkuta kipondo.

Kwa sasa siwezi cheza nae bila barua kutoka vyombo vya usalama nijise kukamatwa kwa kosa la uonevu .
Muoneeni huruma mfundisheni Game hizo Tuntura hazina Msaada zitampoteza kuna wachezaj Mi bado hawajawa tayari kutumika lkn ndy watakakuja kumpa adabu hata Moja haitoweza kupita kabsa wakiwa tayari

Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
 
Fene huu uzi kwake umeshakuwa mchungu huwezi kumuona akija humu kwa vipigo nilivyompa yaani mechi tano kashinda 1 hiyo jana na kabla ya hapo nilikuwa tena nimempa kipondo kwa hiyo ilibidi jana alipe kisasi ila kikamkuta kipondo.

Kwa sasa siwezi cheza nae bila barua kutoka vyombo vya usalama nijise kukamatwa kwa kosa la uonevu .
[emoji23][emoji23][emoji23]dadek sio poa ni mwendo wa maombi tu
 
Naona vibonde mnapeana moyo

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Sitokaa nikumbe mechi tena utakapo omba mwenyewe baada ya kuona kwamba umefika level za kucheza na mimi ,kwa hiyo jinoe kwanza kisha urudi humu na kuweka rekodi sawa siku mbili mfulilizo mimi naibuka bingwa .

Note : Sitoacha kukupa vipondo vikali mpaka utakapo kiri mwenyewe kuwa mimi ni Master wako.
 
Sitokaa nikumbe mechi tena utakapo omba mwenyewe baada ya kuona kwamba umefika level za kucheza na mimi ,kwa hiyo jinoe kwanza kisha urudi humu na kuweka rekodi sawa siku mbili mfulilizo mimi naibuka bingwa .

Note : Sitoacha kukupa vipondo vikali mpaka utakapo kiri mwenyewe kuwa mimi ni Master wako.
Unalazimisha ukubwa usio nao ila hongera kwa kujaribu

Kudhihirisha ukubwa wako jaribu unidominate kwa kipind kirefu kama mimi ninavyofanya

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Bhs we tutajie wakubwa unaowaona We.
Mkubwa ni mim tu humu japo mnafosi, huyo kiande mwenzako adriz kila siku nambonda kaniotea juz tu hapo tantalila kibao na jana kanikimbia alijiua ambacho kingemkuta

Wew nawe ndo walewale tangia ulivyoniotea siku yako moja ile kila siku unanikwepa ila ipo siku utaingia ktk line

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mkubwa ni mim tu humu japo mnafosi, huyo kiande mwenzako adriz kila siku nambonda kaniotea juz tu hapo tantalila kibao na jana kanikimbia alijiua ambacho kingemkuta

Wew nawe ndo walewale tangia ulivyoniotea siku yako moja ile kila siku unanikwepa ila ipo siku utaingia ktk line

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mi we siwez kukuote nakufunga navyojisikia Mi
 
Mkuu hv naweza pata file la kusajili wachezaji na unlimited money yani hacking transfers

tafuta dream league soccer mod apk toka google search engine na upakue. Game haitakuwa official na hvyo features nying tu utakosa mfano online multiplay,game update and realism
 
Back
Top Bottom