MrJobless
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,091
- 1,342
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nimekujaMkuu kama unajiamini njoo PM nikakufunge,
Jichagulie muda unaotaka wew mwenyewe
Fene huu uzi kwake umeshakuwa mchungu huwezi kumuona akija humu kwa vipigo nilivyompa yaani mechi tano kashinda 1 hiyo jana na kabla ya hapo nilikuwa tena nimempa kipondo kwa hiyo ilibidi jana alipe kisasi ila kikamkuta kipondo.
Muoneeni huruma mfundisheni Game hizo Tuntura hazina Msaada zitampoteza kuna wachezaj Mi bado hawajawa tayari kutumika lkn ndy watakakuja kumpa adabu hata Moja haitoweza kupita kabsa wakiwa tayariFene huu uzi kwake umeshakuwa mchungu huwezi kumuona akija humu kwa vipigo nilivyompa yaani mechi tano kashinda 1 hiyo jana na kabla ya hapo nilikuwa tena nimempa kipondo kwa hiyo ilibidi jana alipe kisasi ila kikamkuta kipondo.
Kwa sasa siwezi cheza nae bila barua kutoka vyombo vya usalama nijise kukamatwa kwa kosa la uonevu .
Nitajongea kakaMkuu kama unajiamini njoo PM nikakufunge,
Jichagulie muda unaotaka wew mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23]dadek sio poa ni mwendo wa maombi tuFene huu uzi kwake umeshakuwa mchungu huwezi kumuona akija humu kwa vipigo nilivyompa yaani mechi tano kashinda 1 hiyo jana na kabla ya hapo nilikuwa tena nimempa kipondo kwa hiyo ilibidi jana alipe kisasi ila kikamkuta kipondo.
Kwa sasa siwezi cheza nae bila barua kutoka vyombo vya usalama nijise kukamatwa kwa kosa la uonevu .
Sitokaa nikumbe mechi tena utakapo omba mwenyewe baada ya kuona kwamba umefika level za kucheza na mimi ,kwa hiyo jinoe kwanza kisha urudi humu na kuweka rekodi sawa siku mbili mfulilizo mimi naibuka bingwa .
Saa 4 usiku panapo majaaliwa ukiwa fresh tukiwashe.[emoji23][emoji23][emoji23]dadek sio poa ni mwendo wa maombi tu
Unalazimisha ukubwa usio nao ila hongera kwa kujaribuSitokaa nikumbe mechi tena utakapo omba mwenyewe baada ya kuona kwamba umefika level za kucheza na mimi ,kwa hiyo jinoe kwanza kisha urudi humu na kuweka rekodi sawa siku mbili mfulilizo mimi naibuka bingwa .
Note : Sitoacha kukupa vipondo vikali mpaka utakapo kiri mwenyewe kuwa mimi ni Master wako.
Kaka mkubwaUnalazimisha ukubwa usio nao ila hongera kwa kujaribu
Kudhihirisha ukubwa wako jaribu unidominate kwa kipind kirefu kama mimi ninavyofanya
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Aaah sawa mkuuSaa 4 usiku panapo majaaliwa ukiwa fresh tukiwashe.
Bhs we tutajie wakubwa unaowaona We.Unalazimisha ukubwa usio nao ila hongera kwa kujaribu
Kudhihirisha ukubwa wako jaribu unidominate kwa kipind kirefu kama mimi ninavyofanya
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mkubwa ni mim tu humu japo mnafosi, huyo kiande mwenzako adriz kila siku nambonda kaniotea juz tu hapo tantalila kibao na jana kanikimbia alijiua ambacho kingemkutaBhs we tutajie wakubwa unaowaona We.
Mi we siwez kukuote nakufunga navyojisikia MiMkubwa ni mim tu humu japo mnafosi, huyo kiande mwenzako adriz kila siku nambonda kaniotea juz tu hapo tantalila kibao na jana kanikimbia alijiua ambacho kingemkuta
Wew nawe ndo walewale tangia ulivyoniotea siku yako moja ile kila siku unanikwepa ila ipo siku utaingia ktk line
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mkuu hv naweza pata file la kusajili wachezaji na unlimited money yani hacking transfers
Mnaandikia mate?Mi we siwez kukuote nakufunga navyojisikia Mi