Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

adriz umejikausha tuliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba uulezee umma jana nini kilikukuta baada ya kujidhatiti kutaka kupindua meza na kuondoa fedheha

Duh! Aibu naona mimi
 
adriz umejikausha tuliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba uulezee umma jana nini kilikukuta baada ya kujidhatiti kutaka kupindua meza na kuondoa fedheha

Duh! Aibu naona mimi
Mechi ijayo gemu nne nitakupiga zote kisha nitakuwa sina deni nimeshasawazisha mzani.

Hesabu mechi kabisa usije baada ya vipigo vyangu kukuchanganya ukasahau data..
 
Mechi ijayo gemu nne nitakupiga zote kisha nitakuwa sina deni nimeshasawazisha mzani.

Hesabu mechi kabisa usije baada ya vipigo vyangu kukuchanganya ukasahau data..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nataka niweke rekodi nisifungwe na simu yako mpya hadi uhisi ina gundu ukabadilishe

Mi nikajua utakuwa hatari ndo kwanza umezidi kuwa mdebwedo[emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960]
 
adriz umejikausha tuliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba uulezee umma jana nini kilikukuta baada ya kujidhatiti kutaka kupindua meza na kuondoa fedheha

Duh! Aibu naona mimi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] usikute yalimkuta Yale ya Bwana kolo akala kono [emoji2772]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nataka niweke rekodi nisifungwe na simu yako mpya hadi uhisi ina gundu ukabadilishe

Mi nikajua utakuwa hatari ndo kwanza umezidi kuwa mdebwedo[emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960]
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] hebu leta code
 
Mechi ijayo gemu nne nitakupiga zote kisha nitakuwa sina deni nimeshasawazisha mzani.

Hesabu mechi kabisa usije baada ya vipigo vyangu kukuchanganya ukasahau data..
Umefungwa tena Bro mbn wanakuonea sn
 
Back
Top Bottom