Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Upo tukipute?Leta code mkuu tukajifunze...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo tukipute?Leta code mkuu tukajifunze...
NipoUpo tukipute?
Saa tano kamili nitalud hapa kuchek code mkuuNipo
Poa nakusubiriSaa tano kamili nitalud hapa kuchek code mkuu
Mbona mpaka sasa haupoSaa tano kamili nitalud hapa kuchek code mkuu
Jamii forum ilikataa kufunguka hapa nimetumia VPNPoa nakusubiri
Code 966J
Duh! kweli wewe kiyande yaani unaleta hivyo screenshot ya zamani sana hadi jina Hilo la timu nimeshalisahaua hata hivyo hiyo screenshot haina uhalali coz sio mpya na wewe nimewahi kukupa kipigo kama hiko.adriz anajua kutunza siri huyu jamaa, juzi nimemkaanga goli za kutosha alafu kajikausha kimyaaa hata hasemi
Juzi nimekuponda unataka kubisha nini?Duh! kweli wewe kiyande yaani unaleta hivyo screenshot ya zamani sana hadi jina Hilo la timu nimeshalisahaua hata hivyo hiyo screenshot haina uhalali coz sio mpya na wewe nimewahi kukupa kipigo kama hiko.
Umebahatisha, kabla ya hapo siku tatu mfululizo ulitoka kapa bila ushindi.Juzi nimekuponda unataka kubisha nini?
Muda upi unakuwa free?? Nije hapa kukungojeaUpo tukipute?
Mtazamo wako mawazo yako yanaheshimiwaUtoto
Wahouth wamekata nyaya za bahariniLeo ntakucheki japo kua mtandao unazingua sana
Ndo watu gani sheikhWahouth wamekata nyaya za baharini