Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mod gani hiiCode mtakula za uso
Leta code nikushenyenteNatoa zawadi ya elf 50 kwa yoyote kati yenu atakae pata ata sare tu kwangu.... nadhani hapa Africa hakuna mtu anaeweza kunifunga dream league.... yaan hua inafikia hatua natoa wacheza wote alaf nasajili mid players wenye rate 68 na 70 na nna beba kila kombe.
Kumbe kila kombe? Cheza online japo fika tier 6... na kikosi cha kawaida uone Msala au leta code na mi ntapanga wachezaji wa kawaida, ukipata hata sare ntakupa bando la mwezi...Natoa zawadi ya elf 50 kwa yoyote kati yenu atakae pata ata sare tu kwangu.... nadhani hapa Africa hakuna mtu anaeweza kunifunga dream league.... yaan hua inafikia hatua natoa wacheza wote alaf nasajili mid players wenye rate 68 na 70 na nna beba kila kombe.
Tukutane saa nne tukiwasheLipo mkuu sema nipo busy ila kuanzia usiku saa nne nakuwa live
0022X ukipata muda twendeCode nazitoa vp?? Nipe instructions..... nasisitiza malipo ata kwa atakae pata sare tu
Sasa kama hata hajui code n nn kuna mchezaji hapo?? [emoji81][emoji2957]0022X ukipata muda twende
Tukutane saa nne tukiwashe
Nilikua chimbo nagawa dozi tu sina mambo mengi... jana nimeanza kucheza za online hakuna ata mmoja aliepata sare... nimeanza jana naona leo niko tier 10 na basi niko bize.. nikiwa free nadhani ntakua tier 1 ndani ya masaa mawili tu.Sasa kama hata hajui code n nn kuna mchezaji hapo?? [emoji81][emoji2957]
Chagua tunacheze Card ipo araf njooNatoa zawadi ya elf 50 kwa yoyote kati yenu atakae pata ata sare tu kwangu.... nadhani hapa Africa hakuna mtu anaeweza kunifunga dream league.... yaan hua inafikia hatua natoa wacheza wote alaf nasajili mid players wenye rate 68 na 70 na nna beba kila kombe.