Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Breaking bad natafuta nguvu ya kumalizia season 2 maana mnasema inaboa mwanzoniacha bhangi, halafu we hata breaking bad huja angaliaga🤣😂.
kaangalie hiyo, family, crime, drugs kali mnoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Breaking bad natafuta nguvu ya kumalizia season 2 maana mnasema inaboa mwanzoniacha bhangi, halafu we hata breaking bad huja angaliaga🤣😂.
kaangalie hiyo, family, crime, drugs kali mnoo
Haya kaangalie sopranos haiboi, haipoi.Breaking bad natafuta nguvu ya kumalizia season 2 maana mnasema inaboa mwanzoni
Kaka umenipa movie sita leo tuu😀😀😀Haya kaangalie sopranos haiboi, haipoi.
MkuuHata sasa hivi au usiku usiku
Jaribu efootball hutajutia 😂🙌🏿Nahitaji msaada jinsi ya kulicheza .maana niko level 1 ila sasa nafungwa sana mpaka napata hasira ,wachezaji hawakabi kila kona goli ....nakuwa wa 6 au 13 mwishoni
Ndo umelidownload...Nahitaji msaada jinsi ya kulicheza .maana niko level 1 ila sasa nafungwa sana mpaka napata hasira ,wachezaji hawakabi kila kona goli ....nakuwa wa 6 au 13 mwishoni
Kama dream league limemshind e football ataweza kwelJaribu efootball hutajutia 😂🙌🏿
Afu unalicheza hili nataka nikipata muda niliishushe nianze na lenyeweJaribu efootball hutajutia 😂🙌🏿
Yeah nalicheza mkuuAfu unalicheza hili nataka nikipata muda niliishushe nianze na lenyewe
Ndo hapo sasa, sema lipo simple ku adopt pia linavutiaJaribu efootball hutajutia 😂🙌🏿
Sijawai licheza nilikutana na mdau kadowload linamsumbua...Yeah nalicheza mkuu
Linachezeka mkuuSijawai licheza nilikutana na mdau kadowload linamsumbua...
Me kwakuwa mtu wa magemu tutacheza tuu
Nikishindwa nitakuchekLinachezeka mkuu
Karibu ✊🏿Nikishindwa nitakuchek
Pamoja kakaKaribu ✊🏿
Ndo umelidownload...
Inabid uingie sokon kusajili.. pia jitaid kama unaanza uchague kapten ambaye ni straika akusaidie kufunga...Sina muda mrefu kulicheza ila kila ninavyo update uwanja ndiyo nakutana na upinzani mkubwa .hiv sasa nikijitahi sana ni dro