and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Dreamliner likianza kupaa nje ya TZ likachote Watalii Nairobi na Johannesburg kisha breki ya kwanza KILIMANJARO kisha Zanzibar. Dreamlinee iachane na route ya Mwanza isiyo na Mashiko. Huko Mwanza sijui Mbeya/Mtwara/Songea/tabora/kigoma ziende Pangaboi....