pius maige
Member
- Mar 2, 2012
- 57
- 8
Habar wana jf.
Neimekua nikitafta maarifa ya agribusiness kwa muda mrefu..nikakutana na greenhouse ambayo gharama zake ni ghari.
Nmekutana na hii Drip agriculture.
Gharama zake kwa heka moja ni zipi?
Mahitaji yake ni yapi?
Shamba lipo eneo kavu je kuna utaalam wa kisima waweza fanyika nipate maji mwaka mzima?
wazo ni kulima mbogamboga na matunda.
miaka 5 ijayo kua supplier wa mbogamboga,matunda na spices kwenye mahotel na retail.
Naomba msaada wenu kwa mwenye maarifa haya..
Shukran wakuu.
Neimekua nikitafta maarifa ya agribusiness kwa muda mrefu..nikakutana na greenhouse ambayo gharama zake ni ghari.
Nmekutana na hii Drip agriculture.
Gharama zake kwa heka moja ni zipi?
Mahitaji yake ni yapi?
Shamba lipo eneo kavu je kuna utaalam wa kisima waweza fanyika nipate maji mwaka mzima?
wazo ni kulima mbogamboga na matunda.
miaka 5 ijayo kua supplier wa mbogamboga,matunda na spices kwenye mahotel na retail.
Naomba msaada wenu kwa mwenye maarifa haya..
Shukran wakuu.