Drone za Ukraine zaanza kujongea Moscow, anga ya Urusi wazi bila ulinzi

Drone za Ukraine zaanza kujongea Moscow, anga ya Urusi wazi bila ulinzi

Urusi atumie nyukilia tu,ndo MSAADA naweza mpatia
 
Hukunielewa, mimi nasapoti ukraine kuingia ndani ya Russia. Ilikuwa inaniuma wanaposema (EU na USA) ati misaada yao si kwa ajili ya kuishambulia Russia! Why, lishenzi limevamia kanchi ati wao wasilipige? Nimefarijika kuona angalau watu wa Russia wameonja shubiri. Ningekuwa na uwezo ningeenda kusaidia Ukraine tu
Hivi muuwaji PUTIN ataishi milele kweli . Siku akifa nalala bar .
 
Maana yake chochote kinachopita angani kitashushwa, ndio maana hizo drone zimeshushwa bila kupiga target walizo kusudia hao wa Ukraine
Hazikuwa "tactical drones" zilikuwa surveillance drones
 
Hapo naanza kufurahi! Haiwezekani wewe unachapwa kwenu, ati usimtandike kwake ukaharibu hata glass kwake
Maajabu kabisa haya, Ukraine miundombinu mingi imeharibiwa, askar wengi wamekufa, raia wengi wamekufa sasa nilikuwa najiuliza wanasubir nn kupenya kwenye ardhi ya Russia maana sioni walichobakiza otherwise labda kama wanaheshim Sheria za kimataifa ili huko mbeleni waje wajitetee kwamba sisi tulikuwa tunapigana ktk ardhi yetu na kamwe hatukuwahi kurusha hata jiwe Russia ila huo ni upumbavu pia.
 
Hamna duru zilizo huru zinazoweza kuthibitisha madai ya Russia kwamba wametungua drones zote kwani Russia ndio nchi inayoongoza kwa propaganda duniani toka zama za dikteta Vladimir Lenin.
Zilipiga miscow ya wapi sasa hehheh tuakili twa nyongeza tuna kazi sana
 
Kufunga anga ni onyo, maana yake ni kuwa hairuhusiwi ndege ya aina yoyote kuruka kwenye anga iliyofungwa.
Nilikuwa namwambia huyo jamaa anayesema kama mifumo iko sawa kufunga anga kwanini?

Jibu anga hufungwa pia na hiyo hiyo mifumo anayodhani haipo sawa
 
Hii imewashangaza sana Urusi kwa drone kukaribia Moscow bila kugunduliwa......

Drones that the Kremlin said were launched by Ukraine flew deep inside Russian territory, including one that got within 100 kilometers (60 miles) of Moscow, signaling breaches in Russian defenses as President Vladimir Putin ordered stepped-up protection at the border.

Officials said the drones caused no injuries and did not inflict any significant damage, but the attacks on Monday night and Tuesday morning raised questions about Russian defense capabilities more than a year after the country's full-scale invasion of its neighbor.

Ukrainian officials did not immediately take responsibility, but they similarly have avoided directly acknowledging responsibility for past strikes and sabotage while emphasizing Ukraine's right to hit any target in Russia.

Although Putin did not refer to any specific attacks in a speech in the Russian capital, his comments came hours after the drones targeted several areas in southern and western Russia. Authorities closed the airspace over St. Petersburg in response to what some reports said was a drone.
Urusi iko wazi sana ni vile NATO bado hawajaamua tu, kiwanja cha ndege cha kijeshi karibun kilichomwa moto kuonyeshwa tu
 
Urusi iko wazi sana ni vile NATO bado hawajaamua tu, kiwanja cha ndege cha kijeshi karibun kilichomwa moto kuonyeshwa tu
Hakuna air defence dunia itakayokuwa perfect 100% km umesikia jn huko israel mnayoisifia ina defence nzuri imezuia makombora lakini mengine yamepenya au usa ameweka ulizi wake saudi arabia lakini drone za houthi zimepenya kwahyo kusema drone zimeingia russia sioni cha ajabu.
 
Back
Top Bottom