Drones ni game changer kwenye vita

Drones ni game changer kwenye vita

Nilikuwa najiuliza hapa, hivi JWTZ walishindwa hata kutumia hivi vidude kutrace movement za ISIS huko Ruvuma river
1605124825927.png
 
Halafu US asipopeleka majeshi yake yale mafuta yanachotwa na contractors wake kule Iraq yatakua yanachotwa na hizo drones mzee baba?

mwaka 2003 wanajeshi wa USA waliiba mi pesa mingi sana Iraq mfano kuna nyumba walikuta $600 million ,kuna mtaa wakakuta ma roli yamejaa pesa nk yani mmarekani naye ni mwizi tu kama wanajeshi wa Tz walivoiba ma freezer uganda ndio mana hatumii drones sana anatuma jeshi
 
Sasa ivi A/mashariki tunacheza na siasa na wanasiasa ivyo vitu ni vya nchi za dunia ya kwanza ambao hao ndio wanaishi karne 21. Sisi wa dunia ya 3 badi tupo karne 18, huoni hata style ya uwendeshaji wa nchi hizi bado ziko katika vita ya seriali na mpinzani
Hahah kuna ukweli kwny hili mkuu
 
hatuwezi kufika huko kwa sababu majeshi yetu wanaamini katika nguvu sio akili,kuna jamaa aliojiwa pale TBC1 aliweza kutengeneza mifumo mbalimbali ya gari ikiwemo kifaa cha kuwasha gari bila kuigusa, kifaa cha ku lock gari na alarm yake, kifaa cha kutambua gari ipo wapi nk na ana ndoto za kuingia jeshini alidai anaweza kuunda vitu vingi sana
Daah hivyo ndio vichwa vya ku-retain sasa kwa karne hii mkuu sema ndio hivyo tena......
 
misile ni habari nyingine mkuu hako ka drone ni cha mtoto tu kwa Missile maana missile zinauwezo wa kulipua mfano Africa nzima at once,zile Missile ambazo trump anatembea na briefcase yenye codes sio za kulinganisha na drones ndio maana korea unamuona kim anahangaika na missile sio drone kwanza vi drones havina speed havifai kwa vita hivyo,missile inasafiri haraka sana
Drones hizo zinaweza kuzifanya silaha zako sikuuwe mwenyewe..
 
Wengi wao ni watoto wa Kishua na wanachukuliwa wenye kupenda kucheza video games sana
..halafu wanao-operate hizo drones unaweza kukuta ni watoto mayai, ila wana uwezo wa kukaa mbele ya monitor 12 to 16 hours with maximum concentration. kwa maneno mengine uwepo wa drones umebadilisha kwa namna ya kipekee maana ya kuwa askari.[emoji1787]
 
Ila kwa sasa Uturuki wako vizuri sana kwenye hii sekta ya drone maana hivi vidude vimeichakaza Armenia hana hamu kabisa.
Not many years to come, Turkey is going to be one of the Super Powers
 
Vita vya kisasa vinahusisha zaidi ya technologia ya Hali ya juu, yenye lengo la kupunguza gharama na kuongeza ufanisi.

Kwenye uwanja wa Vita drones zimekua zikifanya Mambo ambayo pengine kwa Vita ya zamani kwa Sasa kutokuwa nafasi.

Vita ya zamani watu walikua wanajificha kwenye mifereji na kwenye nyasi, au comouflage blankets but kwa Sasa kufanya hivyo Ni utopolo kutokana na ukweli kwamba drones na ndege Vita zinathermal sensors ambazo zinaweza detect joto mwili hivyo kuweza kumuona mtu popote alipo.

Kwa Sasa mbabe wa drones Ni Uturuki anayetumia drones zinazoitwa Byraktar Tb2.
View attachment 1624279
Sekeseke la drones hizi wameshazipata Syria na Sasa Armenia.


Unaiongeleaje MQ9- Reaper ya U.S.A

 
siku hizi hakuna vita, vita zilikuwa ni ww1 na 2 basi. mjerumani alitengeneza u-bot na vifaru vya hatari zile ndizo vita sasa acha hizi za sasa mnzoita vita eti ndege hazina rubani,mjapan aliunda jeshi la kujitoa muhanga la ma pilot walikuwa wanarusha ndege then wanaidondosha kwenye meli vita ya maadui
hizi za sasa ni utopolo sio vita, akifufuka Hitler aambiwe hizi drone ni vifaa hatari vya kivita hatowaelewa kabisa wakati yeye alitengeneza mabomo mazito mpaka yanashindwa kuruka yanatua chini yanauwa waliotengeneza
Zilikuwa vurugu mkuu,
 
Ila kwa sasa Uturuki wako vizuri sana kwenye hii sekta ya drone maana hivi vidude vimeichakaza Armenia hana hamu kabisa.
Mkuu naomba nifafanulie kidogo kuhusu hii vita ya Turkey na Armenia ni juu ya nini hasa? RTI
 
Vita vya kisasa vinahusisha zaidi ya technologia ya Hali ya juu, yenye lengo la kupunguza gharama na kuongeza ufanisi.

Kwenye uwanja wa Vita drones zimekua zikifanya Mambo ambayo pengine kwa Vita ya zamani kwa Sasa kutokuwa nafasi.

Vita ya zamani watu walikua wanajificha kwenye mifereji na kwenye nyasi, au comouflage blankets but kwa Sasa kufanya hivyo Ni utopolo kutokana na ukweli kwamba drones na ndege Vita zinathermal sensors ambazo zinaweza detect joto mwili hivyo kuweza kumuona mtu popote alipo.

Kwa Sasa mbabe wa drones Ni Uturuki anayetumia drones zinazoitwa Byraktar Tb2.
View attachment 1624279
Sekeseke la drones hizi wameshazipata Syria na Sasa Armenia.




MTOA POST UNAIJUA HII HAPA CHINI

Russia air defence system

Pantsir missile system​




1605160247797.png
 
Afu nilicho jifunza nchi zisizokuwa na nguvu na vifaa duni kijeshi ndo wanajikuta Wana siri
 
siku hizi hakuna vita, vita zilikuwa ni ww1 na 2 basi. mjerumani alitengeneza u-bot na vifaru vya hatari zile ndizo vita sasa acha hizi za sasa mnzoita vita eti ndege hazina rubani,mjapan aliunda jeshi la kujitoa muhanga la ma pilot walikuwa wanarusha ndege then wanaidondosha kwenye meli vita ya maadui
hizi za sasa ni utopolo sio vita, akifufuka Hitler aambiwe hizi drone ni vifaa hatari vya kivita hatowaelewa kabisa wakati yeye alitengeneza mabomo mazito mpaka yanashindwa kuruka yanatua chini yanauwa waliotengeneza
[emoji16][emoji16] can't u see any difference?
 
Huenda hata Tz zipo...tena inabidi tuzitumie huko Msumbiji.
Tz bado tuko busy kufanya mazoezi ya kuvunja tofali kwa mikono, kutambaa kwenye matope, kuvaa majani ili kujificha kwenye vichaka nk.

Tunasema hatutaki technologia za mabeberu.
 
..halafu wanao-operate hizo drones unaweza kukuta ni watoto mayai, ila wana uwezo wa kukaa mbele ya monitor 12 to 16 hours with maximum concentration. kwa maneno mengine uwepo wa drones umebadilisha kwa namna ya kipekee maana ya kuwa askari.[emoji1787]
Millitary is not only about Physical Fit,
 
Mkuu naomba nifafanulie kidogo kuhusu hii vita ya Turkey na Armenia ni juu ya nini hasa? RTI
Vita siyo kati ya Uturuki na Armenia bali ni kati ya Azebaijan na Armenia, Uturuki ni mshirika tu.
Kumbuka hizo nchi mbili yaani Armenia na Azabeijan zilisha kuwa chini ya imaya zenye nguvu kubwa duniani kwa nyakati tofauti yaan Ottoman na Usoviet.
Azabeijan na Uturuki ni marafiki wakubwa na wana shea vitu vingi kuanzia lugha,utamaduni ,dini na kinasaba yaan kiufupi ni watu wenye asili moja sema wana tenganishwa na mataifa yao tu ,ila Azebaijan wafuata uslam wa shia wakati Uturuki wakiwa ni suni.
Upande wa Armenia wao ni wakiristo na wanaegemea upande wa Urusi.
Sasa tuje kwenye chanzo cha uhasama kati jamii hizi mbili uhasama wao umeanzia mbali sana kipindi cha Ottoman ,kama nilivyo kueleza hapo mwanzo ni kwamba jamii zote hizi mbili zilishahi kutawaliwa na Ottoman.
Wakati wa vita ya kwanza ya dunia Ottoman ilifanya maangamizi makubwa dhidi ya watu wenye asili ya Armenia ikiwa watuhumu kwa usaliti baada ya kugundua ya kwamba walikuwa wakishirikaana na Urusi kuihujumu Ottoman mpaka kupelekea Ottoman kushwindwa vibaya sana kwenye vita vya dunia.
Zaidi ya Waarmenia million moja na nusu wali uawa na mamilion kukimbia ili kunusuru maisha yao na ndio maana Waarmenia ni jamii iliyo sambaa sana mashariki ya kati ukienda Iran,Syria,Iraq, Afghanistan utawakuta ila hizo nchi siyo asili zao bali walisambaa kwenye hizo nchi wakati wanakimbia maangamizi ya Ottoman.
Kwa hiyo Waarmenia wanawa tizama watu wenye asili ya kituruki kama maadui zao wakubwa kutokana na walicho wahi kufanyiwa na Ottoman .
Sasa tuje kwenye mgogoro unao endelea kwa sasa kumbuka pia hizi nchi zikuwa mojawapo ya majimbo ya ilyo kuwa Usoviet, baada ya Usoviet kuanguka na majimbo yaliyo kuwa chini yake kujitangazia uhuru wao.
Sasa upande wa Azabeijan kuna Jimbo moja lina itwa Nahgorobo karabhak,hili jimbo liko kwenye mipaka ya Azabeijan ila watu wake ni watu wenye asili ya Armenia na ni wakiristo kwahiyo baada ya mataifa hayo kujitangazia Uhuru kitoka Usoviet watu wa hilo jimbo wakawa hawataki kuwa chini ya Azabeijan bali wanataka kuwa chini ya Waarmenia wenzao kitu ambacho Azabeijan iligoma kabisa ,kugoma kwa Azabeijan kulisababisha kulipuka vita mwaka 1990 Armenia ililivamia hilo jimbo kwa kushirikiana wanamgambo wa eneo hilo na kufanikisha kuliteka eneo hilo kutoka kwa Azabeijan.
Azabeijan imesha fanya majiribio kadhaa ya kulikomboa jimbo hilo ila imekuwa ikigonga mwamba.
Hii vita ni kati ya Armenia na Azabeijan ila kila upande unaungwa mkono na mataifa yenye nguvu.
Upande wa Armenia anaugwa mkono na Urusi ,uku Azabeijan ikiungwa mkona na Uturuki.
Ila utofauti wa hii vita na vita ya uko nyuma ni kwamba Uturuki imejiingiza moja kwa moja kwenye hii vita wakati huko nyuma ilikuwa ina tuma silaha tu.
Kwa hiyo vita chanzo chake ni hilo jimbo liitwalo Noghorok karabhak.
 
Back
Top Bottom