Je umesoma habari yote au unaamua kuchagua kinachofurahisha moyo wako hata kama ni uongo? Kila mara ukraine hudai kutungua drones zote au makombora yote kasoro MATANO!! Kisha inasema "sehemu muhimu?critical infrastructure zimeharibiwa na kusababisha umeme kukatwa na maji kukatwa!! Sasa mwenye akili yake timamu atajiuliza hizo "critical infrastructure" kwa nini ziharibiwe kila uchao kama una uwezo wa kudodosha drones na missiles za adui??
Swali la pili mla kujiuliza ni kwa nini kila siku kilio cha Zelensky ni kutaka kupewa air defense nzuri zaidi hususan Patriot air defense?
Swali la tatu inakuweje kila mara watungue zote kasoro tano, kitu ambacho kiuhalisia haiwezekani kila mara zisizotunguliwa ziwe tano na zisiongezeke wala zisipungue!! Ujue hapo ni fix ya mwaka anayeweza kuamini ni mtu mwenye akili kama MK 254 tu!!
Ona taarifa hii ya BBC:
Ukraine war: Overnight strikes hit Kyiv as Putin visits Belarus
Share
Related Topics
IMAGE SOURCE,REUTERS
Image caption,
Some missiles hit critical power infrastructure, causing a blackout across the city
By Tiffany Wertheimer in London & Hugo Bachega in Kyiv
BBC News
Ukraine's capital Kyiv has been rocked by explosions as Russia launched a rare overnight attack on the city.
No-one was killed and most of the missiles were shot down, Ukrainian officials said, but some did hit "critical infrastructure", causing a blackout across the region.
The attack occurred before Russia's President Vladimir Putin arrived in Belarus to meet Alexander Lukashenko.
Ukraine has warned that Russia may be preparing a new attack from Belarus.
This latest barrage of missile attacks from Russia is the third in five days - however night time raids on the capital, Kyiv, are unusual.
Twenty-three Iranian missiles were launched, of which 18 were shot down, the head of Kyiv's military administration, Serhiy Popko said.
Pictures online show firefighters at a large blaze at a power plant.
Only two people were injured, authorities reported - a very low number considering many people would have been asleep at the time of the strikes on civilian areas.
Kyiv's Mayor Vitaliy Klitschko wrote on Telegram that "critical infrastructure facilities were damaged" and that engineers were working to restore power.
Taarifa iliyotolewa CNN hii hapa:
Russian drones attack Kyiv as Moscow takes another swipe at Ukraine’s power grid
From CNN's Maria Kostenko, Rob Picheta and Seb Shukla
At least two people were hurt and key infrastructure has been damaged in a
Russian drone assault on the Ukrainian capital Kyiv, the latest attempt by Moscow to ravage Ukraine’s power supplies.
Explosions and air raid sirens were heard around the city early Monday, with alerts sounding from 2 a.m. until after 5 a.m. local time.
The Ukrainian Air Force claimed to have shot down 30 out of 35 drones launched from Sunday night into Monday, but those that got around air defenses damaged power systems and civilian targets.
Taarifa iliyotolewa Al Jazeera hii hapa:
Russia drone attack targets ‘critical infrastructure’ in Kyiv
Ukraine’s military says about 20 unmanned aerial vehicles targeted facilities around the capital.
Published On 19 Dec 202219 Dec 2022
Ukraine’s capital has been
targeted by a wave of drone attacks by Russia’s military that again struck “critical infrastructure”.
About 20 drones were deployed to Kyiv and the surrounding area early Monday, according to officials, with air defence systems destroying about 15 of the unmanned aerial vehicles.
Sehemu zilizokolezewa wino zinaonesha kila mara mtoa taarifa hudai drones zilitunguliwa isipokuwa tano!! Lakini kila mmoja hukiri kuwa uharibifu mkubwa umetokea kwenye sehemu muhimu!!/critical infrastructure destroyed!! Kwa hiyo wanakiri lengo la mshambuliaji lilifanikiwa na lengo la kujilinda halikufanikiwa!! Maana kama ukilinda nyumba mwisho wa siku unasema ilivunjwa, hata kama ukisema mishale kumi niliikwepa haisaidii kitu!!!
MK 254 jibu: Why this consistence in the number of undestroyed drones or missiles always 5!!! Kama anaweza kulilinda anga lake kwa nini bado analilia air defenses nzuri zaidi??