Drones zapiga majengo ndani ya Moscow, twende hivi hivi

Drones zapiga majengo ndani ya Moscow, twende hivi hivi

Kwa sasa URUSI inapigana na Ulaya combine + Marekani
Pale Ukraine ni kama tu uwanja wa mapambano ila wanaoendesha vita ni wengine
Binafsi natamani tu hii vita iishe kwani Sioni Urusi ikishinda Ulaya + Marekani, sana sana kilichobakia ni kuleta tu uharibifu wa mali kwa kuharibu majengo na miundo mbinu...

Hiyo Urusi ifanye kosa la kuchokonoa kataifa kamoja ka NATO ndio mtajua nini maana ya kupigana na Ulaya yote, mumekua mkiliwaza baada ya Urusi kuangukia pua kwa kushindwa kupambana na hako kajirani.
Nimeona Urusi inataka kutumia Wagner kuanza choko choko kwa Poland, kumbuka Poland ni NATO, sasa hapo ndio mtaona nini maana ya NATO.
Fahamu humo NATO kuna mataifa kadhaa yenye uwezo wa kuifuta Urusi yenyewe bila kutegemea muungano.
 
MPANGO wa NATO ni kupiga maeneo inside Russia na media zao zinatangaza Sana kuficha aibu ya kushindwa Vita na magari yao plus vifaru vyao and other hardware za kivita vilivyotekwa na kuchomwa Moto Ukraine.
 
MPANGO wa NATO ni kupiga maeneo inside Russia na media zao zinatangaza Sana kuficha aibu ya kushindwa Vita na magari yao plus vifaru vyao and other hardware za kivita vilivyotekwa na kuchomwa Moto Ukraine.

Tulia uandike upya, kwani hayo magari waliyatuma yakatalii Ukraine, ni bayana yaliwkenda vita na lazima yangeharibika ila kimsingi yamefanikisha pakubwa maana supapawa amepoteza asilimia 50% ya maeneo aliyokua ameteka, na aliyateka kwa gharama kubwa sana iliyosababisha jeshi lake kufa sana, ila yamekombolewa, sasa Putin anawaambia Warusi nini, kwamba vifo vya hao wanajeshi vilikua vya bure.
 
odesa ngano zinasafirishwa mleta habari!!?

Kwa sasa habari muhimu ni aibu ya supapawa kupigwa mjini kati, mambo ya ngano sijui ubwabwa havina umuhimu.....
 
Back
Top Bottom