Droni za Iran zaleta taharuki Ukraine

Droni za Iran zaleta taharuki Ukraine

Sheheed drone zinazo gawa doz kwa Wanamgambo wa Ukraine
IMG_20221014_101138_699.jpg
 
Zile drone ni hatari maana zinajilipua hazina cha kupoteza, yaani ukiituma ndio mmeagana nayo hapo.

Kilicho nikosha zinashuka kama mwewe kutoka north,south,east na west, wakati mwingine drone mbili au tatu zinaweza kuishukia target kutagemea na ukubwa wa target!! Wanasema nyingine zinaweza kusafiri mpaka 2000Km - nyingine zinaweza kuzunguka zunguka hewani kwa takribani saa 24 zikiwinda targets, target ikijitokeza tu zinaye - sasa sijui jamaa zetu HIMARS zao watakuwa wanazificha wapi - maanake niliona telescopic lenses zake zina zoom mpaka kwenye misitu minene na kufichuwa target zilizo jichimbia - hatari sana.
 
Russia na Iran wapo na Umoja wao wa chini chini na ninadhani Iran wanatumia mwanya huo kuweza kujaribu ufanisi wa silaha zao.

Pia hao hao Russia, Iran pamoja na kundi la Hezbollah kutoka Lebanon ndio wanamfanya mpaka Rais Assad wa Syria kuwa madarakani hadi leo.
Du asad yupo mpka leo? Aiseee huyo mwamba sana
 
Mwanzo ilikuwa kama tetesi na mshangao kuwa Iran imeiuzia au imeipa zawadi Urusi droni zake ili zishiriki kuitandika Ukraine.Na hata raisi wa Ukraine mwanzoni alizitaja droni kuwa haziwezi kazi na hazitobadilisha kasi yao ya kuteka miji ya Urusi.Mambo yamebadilika tangu wiki mbili zilizopita wakati droni hizo zilipoupiga mji wa bandari wa Odessa na kupelekea Zelensky kuitupia lawama Iran kwa kutoa droni zake za Shaheed kusaidia kuwapiga.Malalamiko hayo yameongezeka hapo juzi Urusi ilipoipiga miji mingi ya Ukraine kwa wakati mmoja.Kwa mara nyengine jeshi la Ukraine limetaja hofu yao kwa droni hizo zinazodowea angani na zinazopiga kama mwewe.

Andika basi kwa paragraph, koma na vituo, sasa wewe unaandika tu kama darasa la kwanza. Shule za St. Kayumba ni shida sana.
 
Kilicho nikosha zinashuka kama mwewe kutoka north,south,east na west, wakati mwingine drone mbili au tatu zinaweza kuishukia target kutagemea na ukubwa wa target!! Wanasema nyingine zinaweza kusafiri mpaka 2000Km - nyingine zinaweza kuzunguka zunguka hewani kwa takribani saa 24 zikiwinda targets, target ikijitokeza tu zinaye - sasa sijui jamaa zetu HIMARS zao watakuwa wanazificha wapi - maanake niliona telescopic lenses zake zina zoom mpaka kwenye misitu minene na kufichuwa target zilizo jichimbia - hatari sana.
Kwa kifupi droni zimekuwa ni silaha kali katika vita vya kisasa.Vifaru na ndege zenye kupiga mabio na kutoa mvumo mkali si chochote mbele ya droni.Zenyewe zinakuwa juu sana kuliko zinakopita hata B5 zimetulia tu zinaangaza huku na kule. Zile za uturuki TB2 bYraktar zilwaumiza sana Urusi mwanzoni mwa vita.Wacha na wao sasa watumie za Iran kulipiza kisasi.
 
Western propaganda eti Mrusi anatumia drone za Muiran jibu hilo hizo ni drone za Mrusi
 
Hawa waajemi mungu anawaona hizi Drone hazijapata kutokea duniani aisee

Nasema haya kwasababu wanajeshi wa Ukraine wanakiri kuwa nyingi ya Drone hizo hazitunguliki kirahisi

Kutungua inabidi watumie nguvu sana Unakuta yanarushwa hadi makombora 25 angani kwa mpigo kutungua drone moja na bado yanafeli kuna video nyingi tu wanajaribu kutungua lakini hola.

Hizi Drone za Iran zimezizidi zile za Mturuki sijui zilipotelea wapi?[emoji23][emoji23][emoji23]Uwapo wa Drone za Iran zimebadili upepo wa vita kabisa mwanzo drone za Mturuki zilimuumiza kichwa Russia ila baada ya kuzijulia na kuzipata hizo za Iran za mturuki zilifyekwa zote na sikuhizi hata zisikii tena zikiongelewa

Kwa sasa iran atakua na orders nyingi sana ya hizo drones mbali na kuwa na uwezo mkubwa zina uwezo wa kusafiri umbali mrefu sana, kufanya kazi angani kwa masaa mengi na pia kuwa na uwezo wa kukimbia kwa kasi sana bila kutungulika kirahisi
 
Mabeberu wameshutushwa na hizo drone j tatu watakaa kikao na kuweka mipango ya kuikabili iran
 
wangelikuwa na uwezo huo wangeshalianzisha kwa wazayuni kitambo, hawana huo uwezo na hata wakiwa nao wanajua kabisa kwamba mzayuni yupo juu yao na anaweza kuwafanya lolote apendavyo.
 
Nato wameishiwa hizo ni drone za Mrusi na wanataka kudai Mrusi hana silaha kaishiwa kwa kichapo anacho wapa
Dalili hi hapa hizo drone ni za Mrusi msisikie news za western propoganda
 
Back
Top Bottom