Droo ya nusu fainali UEFA, Manchester City v Real Madrid, Atletico Madrid v Bayern Munich

Droo ya nusu fainali UEFA, Manchester City v Real Madrid, Atletico Madrid v Bayern Munich

Naona umekwenda kwenye conspiracy kwamba Real Madrid hakupewa fixture ngumu lakini that will not make City to beat them. Kwenye football kila dakika 90 Ni tofauti na nyingine, mfano last season Atletico removed from UCL by Real Madrid, it's not even 2 weeks ago 10 men's Real Madrid beat Barcelona on their home ground. Hao PSG walipigwa na Real Madrid kwenye mzungu wa UCL season hii hii. Sasa Kama unasema huu mwaka Ni Wao kwa vile wewe unapendelea iwe hivyo then okay!
Okay! Let's wait and see. Muda utafichua yote.
 
Me nashangaa sana watu wanavoichukulia poa man city pellegrin anataka aache legacy pale na wachezaji wote wapo kwenye morali kubwa ...they have nothing to loose
 
Baada ya Barcelona kutoka hata huu uzi umekosa mvuto
 
Back
Top Bottom