Droo ya Nusu Fainali ya UCL na UEL

yaan tim kama ya juve ina hatari ikikutana na Atletico Madrid kwa kuwa hawa wana ku force ucheze mchezo wao, ila kwa Monaco wata furahi sana.
Real na Atletico, wamecheza sana kwenye klab bingwa kias tumewachoka yaan. ni kama annual event imekuwa
Fainali itapendez kama watakuwa Atletico Vs Juve
 
Mkuu za siku tele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…