Droo ya robo fainali kombe la shirikisho la Azam Sport

Droo ya robo fainali kombe la shirikisho la Azam Sport

Azam ni jamaa zetu ila kuna mtu hatutaki apande ndega mwaka huu labda mechi yake na kagera ianze akitolewa tutajua namna ya kuwasaidia
 
Duh. Nimeona Mshindi kati ya Yanga vs Kagera atacheza na Mshindi kati ya Simba vs Azam. Hii ni wazi kuwa Simba itaharibu safari ya Azam na Yanga na kuirahishishia kazi NAMUNGO
Naona ushabiki unakusumbua Mkuu, Simba ipi ya kumharibia Yanga? Labda Azam FC ambalo ni branch yao.
 
Back
Top Bottom