Droo ya robo fainali UEFA imepangwa. Ratiba nzima hii hapa

Droo ya robo fainali UEFA imepangwa. Ratiba nzima hii hapa

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
  • Real Madrid Vs Chelsea
  • Inter Vs Benfica
  • Man City Vs Bayern Munich
  • Ac Milan Vs Napoli
Nusu Fainali

- Mshindi kati ya Ac Milan Vs Napoli atakutana na mshindi kati ya Inter Vs Benfica

- Mshindi kati ya Real Madrid Vs Chelsea atakutana na mshindi kati ya Man City Vs Bayern Munich.

Mechi za raundi ya kwanza zitachezwa Aprili 11 na 12, 2023, marudio ni Aprili 18 na 19, 2023

UCL.jpeg

 
Napoli anacheza fainali

Game za upande wa kulia zote kali, hasa ya city na bayern. Nawaona wazee wa munich wakifika finali, ila sio kirahisi.

Fainali itakua kali sana.
 
Back
Top Bottom