Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
😂😂Nitafutieni namba ðŸ¤ðŸ¥°
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Nitafutieni namba ðŸ¤ðŸ¥°
AaaamennnChealse wasali na kuomba sana Benzema na Vinicius jr wapae kwenda mbinguni alafu warudi baada ya mechi kuisha
Walitegemea watapewa milanBitter truth 🤣🤣🤣
Ni mechi itakayokuwa na magoli zaidi ya mawili.Mwanzo wakati natazama Seria A kitu kilichokua kinanikela ni kimoja ligi Yao inamvuto ila timu zao kweny champions league zinabweteka ila Kwa kipindi hichi Seria A imeaza kurudi kweny ubora wake Napoli na Milan bonge moja la game
City hawezi kubeba Champions leauge hakuna bigwa mpya wa champions league mabigwa ni wale wale tu Bayern Munich or Real Madrid Ndio Bigwa wa champions leagueMan city atabeba kombe wakuu
Tofautisha kati ya Draw na Ratiba. Nimekimbia humu nikajua ntapata tarehe za michezoNusu Fainali
- Real Madrid Vs Chelsea
- Inter Vs Benfica
- Man City Vs Bayern Munich
- Ac Milan Vs Napoli
-Mshindi kati ya Ac Milan Vs Napoli atakutana na mshindi kati ya Inter Vs Benfica
-Mshindi kati ya Real Madrid Vs Chelsea atakutana na mshindi kati ya Man City Vs Bayern Munich
Italy kumewaka ila Milan ana kazi kweli kumtoa Napoli ajipangeNi mechi itakayokuwa na magoli zaidi ya mawili.
hakuna wa kumfunga Bayern hapo waulize kina MbappeFainali Madrid vs Napoli....nimekaa paleeee!
Man City atapita kiwepesi sana maana Pep Gadiola anaelewa madhaifu yote ya Bayern Munich na alishawahi kuwafundisha hao hao Bayern Munich akiwa kwenye Bundes Liga.Man city naona katolewa sadaka kabisa
Tupo pamoja kwenye hili.Kombe la napoli hili
Ah wapi!Man City atapita kiwepesi sana maana Pep Gadiola anaelewa madhaifu yote ya Bayern Munich na alishawahi kuwafundisha hao hao Bayern Munich akiwa kwenye Bundes Liga.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app