The Galactico
Member
- Sep 13, 2021
- 36
- 53
Napoli vs Chelsea final ya mwaka huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka Kesho kutwaChelsea tumeumaliza mwendo kwa amani, tupumzike kujipanga mwakani.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Man City atapita kiwepesi sana maana Pep Gadiola anaelewa madhaifu yote ya Bayern Munich na alishawahi kuwafundisha hao hao Bayern Munich akiwa kwenye Bundes Liga.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yaan hadi nimechokaaaa.Man city naona katolewa sadaka kabisa
Kwamba man city atamfunga madrid?SEMI FINAL
Man city vs Real madrid
Napoli vs Benfica
FINAL
Man city vs Napoli
CHAMPION
Man city
Endelea kukariri, cha muhimu usije kujinyonga tu.Kwamba man city atamfunga madrid?
Man city hana quality ya kumfunga madrid.
bayern mchezaji ni musiala tu, tunawapiga usiogopeUCL wana nn na sisi Citizens?? Kila tukifika Robo wanatupa mbabe tubondwe tutokeee.
Jaman na sisi tunataka kunyanyua kwapa la UCL
[emoji170][emoji170] [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Bayern hamna kitu palebayern mchezaji ni musiala tu, tunawapiga usiogope
Usidharau bhana, mie kwa UCL sina imani na Citizensbayern mchezaji ni musiala tu, tunawapiga usiogope
unaimani na nan?Usidharau bhana, mie kwa UCL sina imani na Citizens
Citizens wananivunja moyo mnoo, nikikumbuka mwaka jana had nachokaaa aaaahunaimani na nan?