FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Unaijua man city vizuri?Duh! Chelsea na Man City nje.
Finali itakuwa Kati ya Bayern Munich na Napoli na mwisho wa siku Bayern atanyakua kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua man city vizuri?Duh! Chelsea na Man City nje.
Finali itakuwa Kati ya Bayern Munich na Napoli na mwisho wa siku Bayern atanyakua kombe
Kashinda 3 kwa mtungi na hakulizikaMan city naona katolewa sadaka kabisa
Quality ipi si kawapa cancelo mkitaka ata halland atawapa na atawadunda tyPep mbona wa kawaida sana hatishi. Anabebwa na quality ya wachezaji.
Tupe resultsPep inabidi amtafute mganga wake mapema Bayern ni kifurushi cha misumali
Tupe matokeoAnawajua kivipi? Unazungumzia miaka 10 imepita mpaka leo bado anawajua ama kisa alifundisha ndio kuwajua mambo yanabadilika bwashee
Leta matokeo hatuja ruhusu gori wamecheza sana uko watatufunga 2 kwa1UCL wana nn na sisi Citizens?? Kila tukifika Robo wanatupa mbabe tubondwe tutokeee.
Jaman na sisi tunataka kunyanyua kwapa la UCL
[emoji170][emoji170] [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Bado ngoma mbichi, wala usijipe matumaini hayoo. Tunaweza kushangazwaa km sio kishtushwaa.Leta matokeo hatuja ruhusu gori wamecheza sana uko watatufunga 2 kwa1
Nakumbusha tu utabiri wangu Wakuu, tafadhali msinipopoe kwa mapanga na marungu kisa tu nilipatia [emoji1]Namchukia Pep Gadiola kuliko Watu wote duniani lakini katika hili nimeweka hisia pembeni natumia akili kuwa Man City imeshapita kwenda nusu fainali ya UEFA champions league May 2022/2023.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ni kocha yupi ambaye katisha akiwa na wachezaji wasio na quality?Pep mbona wa kawaida sana hatishi. Anabebwa na quality ya wachezaji.
Labda Madird ndio itampa changamoto kubwa Pep.Pep mbona wa kawaida sana hatishi. Anabebwa na quality ya wachezaji.
Bayern nyanya masalo. Wamenikera wapumbavu wale.Labda Madird ndio itampa changamoto kubwa Pep.
Never say never mkuu...Bayern nyanya masalo. Wamenikera wapumbavu wale.
Ila kazi anayo akikutana na Madrida atapasuka. Hana ubavu huo.
Napoli juzi alikula chuma nne kwa Ac Milan hivyo usijipe matumaini sana ya kuwatoa Ac MilanFainali ni-
Man city vs Inter/Napoli
Napoli leo ataingia na nidhamu zote kwa Ac Milan, yaliyomkuta wiki iliyopita ni surprise kwao kuelekea mechi yao ya champion league.Never say never mkuu...
Usishangae akapasuka kwa Napoli huko fainali...
Ile ilikua ni seria A na hii ni uefa mkuu.Napoli juzi alikula chuma nne kwa Ac Milan hivyo usijipe matumaini sana ya kuwatoa Ac Milan
Mnaishi kwa kukariri hata kwa bayern mlisema hivyo hivyo.Bayern nyanya masalo. Wamenikera wapumbavu wale.
Ila kazi anayo akikutana na Madrida atapasuka. Hana ubavu huo.
Experience inaweza ikawaangusha napoli, ndio kwa mara ya kwanza wameingia robo fainali.Never say never mkuu...
Usishangae akapasuka kwa Napoli huko fainali...
Sawa japo Ac Milan ndiye mwenye historia nzuri ya UEFA champions league kuliko Napoli. Ngoja tuone itakuwaje ila natamani kombe msimu hiu liende Italy. Timu za upande wa pili zikimruhusu Madria aende fainali basi Madrid analibeba hili kombe.Ile ilikua ni seria A na hii ni uefa mkuu.