Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mu italy wa kubeba kombe Kwa upupu ule wa Milan na Napoli Leo ovyo kabisa na Ni Bora final aende Ac Milan au Inter wale Napoli ovyo kabisa wanacheza game ya UEFA kama vile wanacheza game ya ligi kuuSawa japo Ac Milan ndiye mwenye historia nzuri ya UEFA champions league kuliko Napoli. Ngoja tuone itakuwaje ila natamani kombe msimu hiu liende Italy. Timu za upande wa pili zikimruhusu Madria aende fainali basi Madrid analibeba hili kombe.
Thomas Tuchel alipotwaa UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na akina Timo Werner 2021.Ni kocha yupi ambaye katisha akiwa na wachezaji wasio na quality?
Mkuu timu nzima alikua anacheza werner peke yake?Thomas Tuchel alipotwaa UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na akina Timo Werner 2021.
Mkuu inaonekana Napoli wamekuchania mkeka. Nilitoa angalizo tokea mapema kuwa hawa Napoli kwa Ac Milan wasipewe guarantee ya kushinda maana wametoka kufungwa goli nne siku sio nyingi na hao hao.Hamna mu italy wa kubeba kombe Kwa upupu ule wa Milan na Napoli Leo ovyo kabisa na Ni Bora final aende Ac Milan au Inter wale Napoli ovyo kabisa wanacheza game ya UEFA kama vile wanacheza game ya ligi kuu
Sijabeti ila Napoli ni rahisi sana kutabilika wanacheza vip ila pengo la victor osimhen linemewakosti sanaMkuu inaonekana Napoli wamekuchania mkeka. Nilitoa angalizo tokea mapema kuwa hawa Napoli kwa Ac Milan wasipewe guarantee ya kushinda maana wametoka kufungwa goli nne siku sio nyingi na hao hao.
Kuhusu fainali, naona ni ngumu sana kwa timu zilizo upande wa kushoto kushindana na timu zilizopo upande wa kulia. Timu za upande wa kushoto (Benfica,Inter, Ac Milan na Napoli) zote tia maji tia maji tu.
Pengo la Osimhen na Giovanni Simeone pia ambaye alikuwa mbadala wa OsimhenSijabeti ila Napoli ni rahisi sana kutabilika wanacheza vip ila pengo la victor osimhen linemewakosti sana
Haiwezi tokea.Kombe la napoli hili
Waliofungwa kwa tofauti ya goli zaidi ya moja, hao wameshaumaliza mwendo. Labda game ya Napoli vs Ac Milan inaweza kuwa na mabadiliko pengine.Kuna meza zitapinduka second leg na hapo ndio utamu wa mpira tunaoutaka, tuna Imani concentration itakuwa juu sana second leg.
Upo pamoja nami, ila ni kitu kigumu sana kutokea.Fainali lazima kuwe na team ya Italy. Ninatamani AC Milan wabebe hii ndoo.
Mjomba Milan anaenda semi final kama umeona game ya jana na Napoli Milan kacheza Kwa nidhamu kubwa sana Napoli ni upupu anacheza game ya champion leauge kama anacheza mechi za ligiWaliofungwa kwa tofauti ya goli zaidi ya moja, hao wameshaumaliza mwendo. Labda game ya Napoli vs Ac Milan inaweza kuwa na mabadiliko pengine.
Mkuu wachezaji wa Ac Milan wamefanya makosa mengi sana tena ya kizembe, aliyefanya mechi iishe kwa clean sheet ni kipa wa Ac Milan aliyefanya saves nyingi sana. Napoli walishindwa kutumia nafasi nyingi walizozotengenezaMjomba Milan anaenda semi final kama umeona game ya jana na Napoli Milan kacheza Kwa nidhamu kubwa sana Napoli ni upupu anacheza game ya champion leauge kama anacheza mechi za ligi
Leo Victor Osimhen yupoSijabeti ila Napoli ni rahisi sana kutabilika wanacheza vip ila pengo la victor osimhen linemewakosti sana