Droo ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 | Doha, Qatar | 20.02.2025

Droo ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 | Doha, Qatar | 20.02.2025

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Jioni ya leo pale Mjini Doha nchini Qatar kutafanyika droo ya robo fainali kwa mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika.

Kwa upande wa michuano ya Kombe la Shirikisho la CAF (CAF Confederation Cup) msimu wa 2024/2025 timu zilizofuzu kwa droo hii ni:

  • Simba SC kutoka Tanzania
  • USM Alger kutoka Algeria
  • Zamalek SC kutoka Misri
  • RS Berkane kutoka Morocco
  • Asec Mimosas kutoka CIV
  • Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini
  • CS Constantine kutoka Algeria
  • Al Masry SC kutoka Misri

Wawakilishi pekee kwa Tanzania ni Simba waliopo katika michuano ya Kombe la Shirikisho, ambapo wanaweza kukutana aidha na Stellenbosch ya Afrika Kusini, Asec Mimosas ya Ivory Coast au Al Masry ya Misri.

Katika msimu wa 2024/2025 wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League), hatua ya makundi imekamilika, na timu nane zimefuzu kwa hatua ya robo fainali. Timu hizo ni:

  • Al Hilal Omdurman (Sudan) – Kwanza Kundi A
  • MC Alger (Algeria) – Pili Kundi A
  • ASFAR (Morocco) – Kwanza Kundi B
  • Mamelodi Sundowns (SA) – Pili Kundi B
  • Orlando Pirates (Afrika Kusini) – Kwanza Kundi C
  • Al Ahly (Misri) – Pili Kundi C
  • Pyramids FC (Misri) – Kwanza Kundi D
  • Espérance de Tunis (Tunisia) – Pili Kundi D
Mechi za mkondo wa kwanza zinategemewa kupigwa 1-2 mwezi April huku mechi za marudio zikitarajiwa kupigwa kati ya tarehe 8-9 April.

Droo hiyo itaanza majira ya Saa 11:00 Jioni na kurushwa live kupitia Azam Sports 1HD, Supersport, Canal na bila kusahau Caf Tv kule Youtube.

Wana JF wote tutakutana kwenye uzi huu bila kujali timu yako ipo au ilitoka mapemaView attachment 3242267

========================
Ratiba ya Robo Fainal kwa Kombe la Shirikisho
IMG_5371.jpeg


Droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika
IMG_5374.jpeg
 
Enyimba hawapo ni Asec
Halafu hivi Mamelodi hawakufuzu mbona hawapo pia

Mamelodi yupo caf ya wakubwa ambayo ni club bingwa baran africa . Weusi wapo wawili tu na waarabu ,6
 
Jioni ya leo pale Mjini Doha nchini Qatar kutafanyika droo ya robo fainali kwa mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika.

Kwa upande wa michuano ya Kombe la Shirikisho la CAF (CAF Confederation Cup) msimu wa 2024/2025 timu zilizofuzu kwa droo hii ni:

  • Simba SC kutoka Tanzania
  • USM Alger kutoka Algeria
  • Zamalek SC kutoka Misri
  • RS Berkane kutoka Morocco
  • Enyimba FC kutoka Nigeria
  • Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini
  • CS Constantine kutoka Algeria
  • Al Masry SC kutoka Misri

Wawakilishi pekee kwa Tanzania ni Simba waliopo katika michuano ya Kombe la Shirikisho, ambapo wanaweza kukutana aidha na Stellenbosch ya Afrika Kusini, Asec Mimosas ya Ivory Coast au Al Masry ya Misri.

Katika msimu wa 2024/2025 wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League), hatua ya makundi imekamilika, na timu nane zimefuzu kwa hatua ya robo fainali. Timu hizo ni:

  • Al Hilal Omdurman (Sudan) – Kwanza Kundi A
  • MC Alger (Algeria) – Pili Kundi A
  • ASFAR (Morocco) – Kwanza Kundi B
  • Raja Casablanca (Morocco) – Pili Kundi B
  • Orlando Pirates (Afrika Kusini) – Kwanza Kundi C
  • Al Ahly (Misri) – Pili Kundi C
  • Pyramids FC (Misri) – Kwanza Kundi D
  • Espérance de Tunis (Tunisia) – Pili Kundi D
Mechi za mkondo wa kwanza zinategemewa kupigwa 1-2 mwezi April huku mechi za marudio zikitarajiwa kupigwa kati ya tarehe 8-9 April.

Droo hiyo itaanza majira ya Saa 11:00 Jioni na kurushwa live kupitia Azam Sports 1HD, Supersport, Canal na bila kusahau Caf Tv kule Youtube.

Wana JF wote tutakutana kwenye uzi huu bila kujali timu yako ipo au ilitoka mapemaView attachment 3242267
TImu zinazoongoza ligi nchini mwao uk naiona liverpool kwenye hiyo droo hapa anayeongoza hapa kwetubsimuoni.. naona mdogo singida black stars ndio ana muakilisha au ndio mazoea wachezaji amnunulie kocha ampe point amsaidiye na nafasi pia amshikiye kweli huo ni udugu wa damu!
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Jioni ya leo pale Mjini Doha nchini Qatar kutafanyika droo ya robo fainali kwa mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika.

Kwa upande wa michuano ya Kombe la Shirikisho la CAF (CAF Confederation Cup) msimu wa 2024/2025 timu zilizofuzu kwa droo hii ni:

  • Simba SC kutoka Tanzania
  • USM Alger kutoka Algeria
  • Zamalek SC kutoka Misri
  • RS Berkane kutoka Morocco
  • Enyimba FC kutoka Nigeria
  • Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini
  • CS Constantine kutoka Algeria
  • Al Masry SC kutoka Misri

Wawakilishi pekee kwa Tanzania ni Simba waliopo katika michuano ya Kombe la Shirikisho, ambapo wanaweza kukutana aidha na Stellenbosch ya Afrika Kusini, Asec Mimosas ya Ivory Coast au Al Masry ya Misri.

Katika msimu wa 2024/2025 wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League), hatua ya makundi imekamilika, na timu nane zimefuzu kwa hatua ya robo fainali. Timu hizo ni:

  • Al Hilal Omdurman (Sudan) – Kwanza Kundi A
  • MC Alger (Algeria) – Pili Kundi A
  • ASFAR (Morocco) – Kwanza Kundi B
  • Raja Casablanca (Morocco) – Pili Kundi B
  • Orlando Pirates (Afrika Kusini) – Kwanza Kundi C
  • Al Ahly (Misri) – Pili Kundi C
  • Pyramids FC (Misri) – Kwanza Kundi D
  • Espérance de Tunis (Tunisia) – Pili Kundi D
Mechi za mkondo wa kwanza zinategemewa kupigwa 1-2 mwezi April huku mechi za marudio zikitarajiwa kupigwa kati ya tarehe 8-9 April.

Droo hiyo itaanza majira ya Saa 11:00 Jioni na kurushwa live kupitia Azam Sports 1HD, Supersport, Canal na bila kusahau Caf Tv kule Youtube.

Wana JF wote tutakutana kwenye uzi huu bila kujali timu yako ipo au ilitoka mapemaView attachment 3242267
Mechi zinazohusu bara la Africa zinaenda kupangiwa kwenye bara la Asia!!!

Kuna tatizo kubwa sana Afrika.
 
Wamekosa mji wa kufanyia hyo Droo hadi waende huko arabuni?! Si wangeenda hata kwa mama kizmkazi
 
Waafrica nao wapuuzi sana; sasa CAF mashindano ya Afrika kwa nini wakafanyie droo Doha, Qatar? Hawana imani na Afrika?
Hata mimi nimeshangaa. Utumwa haukuishia enzi za bishara ya pembe tatu.
 
Back
Top Bottom