Kwa vile imefanyik kwa warabu nongwa hv nyie kuna siku mtawacha vitu vipite kama vilivopangwa kwa nn hukuomba ije kwenu mpandaWamekosa mji wa kufanyia hyo Droo hadi waende huko arabuni?! Si wangeenda hakwa mama kizmkazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vile imefanyik kwa warabu nongwa hv nyie kuna siku mtawacha vitu vipite kama vilivopangwa kwa nn hukuomba ije kwenu mpandaWamekosa mji wa kufanyia hyo Droo hadi waende huko arabuni?! Si wangeenda hakwa mama kizmkazi
Mkuu VAR yetu Uto FC tutaenda nayo?Jioni ya leo pale Mjini Doha nchini Qatar kutafanyika droo ya robo fainali kwa mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika.
Kwa upande wa michuano ya Kombe la Shirikisho la CAF (CAF Confederation Cup) msimu wa 2024/2025 timu zilizofuzu kwa droo hii ni:
- Simba SC kutoka Tanzania
- USM Alger kutoka Algeria
- Zamalek SC kutoka Misri
- RS Berkane kutoka Morocco
- Enyimba FC kutoka Nigeria
- Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini
- CS Constantine kutoka Algeria
- Al Masry SC kutoka Misri
Wawakilishi pekee kwa Tanzania ni Simba waliopo katika michuano ya Kombe la Shirikisho, ambapo wanaweza kukutana aidha na Stellenbosch ya Afrika Kusini, Asec Mimosas ya Ivory Coast au Al Masry ya Misri.
Katika msimu wa 2024/2025 wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League), hatua ya makundi imekamilika, na timu nane zimefuzu kwa hatua ya robo fainali. Timu hizo ni:
Mechi za mkondo wa kwanza zinategemewa kupigwa 1-2 mwezi April huku mechi za marudio zikitarajiwa kupigwa kati ya tarehe 8-9 April.
- Al Hilal Omdurman (Sudan) – Kwanza Kundi A
- MC Alger (Algeria) – Pili Kundi A
- ASFAR (Morocco) – Kwanza Kundi B
- Raja Casablanca (Morocco) – Pili Kundi B
- Orlando Pirates (Afrika Kusini) – Kwanza Kundi C
- Al Ahly (Misri) – Pili Kundi C
- Pyramids FC (Misri) – Kwanza Kundi D
- Espérance de Tunis (Tunisia) – Pili Kundi D
Droo hiyo itaanza majira ya Saa 11:00 Jioni na kurushwa live kupitia Azam Sports 1HD, Supersport, Canal na bila kusahau Caf Tv kule Youtube.
Wana JF wote tutakutana kwenye uzi huu bila kujali timu yako ipo au ilitoka mapemaView attachment 3242267
nilitaka niandike hili wazo, nimeona coment yako nimefurahi sana mkuu! Ngoja niendelee kushindilia msumali hapahapa.Waafrica nao wapuuzi sana; sasa CAF mashindano ya Afrika kwa nini wakafanyie droo Doha, Qatar? Hawana imani na Afrika?
Ubaya ni nini hapo boss? Si marketing ya soka la Africa kwenye bara la Asia?Mechi zinazohusu bara la Africa zinaenda kupangiwa kwenye bara la Asia!!!
Kuna tatizo kubwa sana Afrika.
Embu tuambie mkuu tatizo kubwa ni nini hapa? Soka la Africa linahitaji platform ya nje, watu wa mabara mengine walifuatilie, wachezaji waonekane.nilitaka niandike hili wazo, nimeona coment yako nimefurahi sana mkuu! Ngoja niendelee kushindilia msumali hapahapa.
Hapana tunawataka wamisriSimba wapewe hao Wasauzi
Akili yako ina akili kweli?Ubaya ni nini hapo boss? Si marketing ya soka la Africa kwenye bara la Asia?
wakuu,Embu tuambie mkuu tatizo kubwa ni nini hapa? Soka la Africa linahitaji platform ya nje, watu wa mabara mengine walifuatilie, wachezaji waonekane.
Unajua Africa tuna ubaguzi mno, ni vile tu sisi ni masikini, tungekuwa matajiri haki ngozi nyeupe wangeipata.
Twende taratibu. Mihemko ya nini, hahaha. Embu sema boss, tatizo lipo wapi kufanyia matangazo Asia?Akili yako ina akili kweli?
Unajua ulichoandika???
Marketing ya soka la Afrika kwenye bara la Asia?
Au sikukusikia vema?
Be realistic 🥺
Afrika imejaa?Twende taratibu. Mihemko ya nini, hahaha. Embu sema boss, tatizo lipo wapi kufanyia matangazo Asia?
Huu ukorofii sasa, [emoji23][emoji23][emoji23]Uto hawapo?
Sasa mbna pale juu hayupo? Na mie nashangaa kuto kuwepo.Mamelodi yupo caf ya wakubwa ambayo ni club bingwa baran africa . Weusi wapo wawili tu na waarabu ,6
Tuambie tatizo la kufanyia matangazo ya mashindano ya soka la Africa, yanayohusu vilabu vinavyouza na kununua wachezaji kutoka mabara yote kwenye bara la Asia.Afrika imejaa?