Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Ushaona Uefa wamefanya Droo yao huko marekani au huko arabuni?!Kwa vile imefanyik kwa warabu nongwa hv nyie kuna siku mtawacha vitu vipite kama vilivopangwa kwa nn hukuomba ije kwenu mpanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaona Uefa wamefanya Droo yao huko marekani au huko arabuni?!Kwa vile imefanyik kwa warabu nongwa hv nyie kuna siku mtawacha vitu vipite kama vilivopangwa kwa nn hukuomba ije kwenu mpanda
Pamoja mkuu…Bora umeushika Uzi mwamba Mwenyewe.
Greatest Of All Time
Hawa watoto humu ndani hawajui hata Live.
Sukrani Mtaalam
Hao wabaki tu jangwani waendelee kula viporo vya sherehe ya janaMkuu VAR yetu Uto FC tutaenda nayo?
Ni suala la fedha hapo, wala sio kitu kigeni. Mfano Real Madrid Vs Barcelona kwenye kombe lao la Super Cup au Fainali ya juzi ya Inter Milan Vs Ac Milan mechi zote zilipigwa uarabuniWaafrica nao wapuuzi sana; sasa CAF mashindano ya Afrika kwa nini wakafanyie droo Doha, Qatar? Hawana imani na Afrika?
Spain kila mwaka wanacheza kombe lao huko uarabuni, hao waarabu wanakulipa ukifanyia event yako kwaoUshaona Uefa wamefanya Droo yao huko marekani au huko arabuni?!
Barca na Madrid wakicheza huko uarabuni hamshangai, INTER na AC wakicheza huko hamstuki kabisaUshaona Uefa wamefanya Droo yao huko marekani au huko arabuni?!
Mifano yako ni dhaifu kabisa. Uarabuni ikitaka kudhamini mashindano yafanyike nchi kwake na kuyalipia, ni tofauti na kwenda kwenye hoteli moja ya uarabuni kufanya droo bila kulipwa. Hakuna maelezo kuwa CAF wamelipwa ili droo hiyo ikafanyikie Doha. Kwanza droo haiingizi pesa na wala haitoi promoshone yoyote kwenye utalii wa Doha, kama mashindano yanavyiongiza pesa na kutoa promosheni ya venue.Ni suala la fedha hapo, wala sio kitu kigeni. Mfano Real Madrid Vs Barcelona kwenye kombe lao la Super Cup au Fainali ya juzi ya Inter Milan Vs Ac Milan mechi zote zilipigwa uarabuni
Dunia ya sasa pesa inaamua mambo mengi, ndio tafsiri sahihi ya mpira pesa
U know nothing about footballMifano yako ni dhaifu kabisa. Uarabuni ikitaka kudhamini mashindano yafanyike nchi kwake na kuyalipia, ni tofauti na kwenda kwenye hoteli moja ya uarabuni kufanya droo bila kulipwa. Hakuna maelezo kuwa CAF wamelipwa ili droo hiyo ikafanyikie Doha. Kwanza droo haiingizi pesa na wala haitoi promoshone yoyote kwenye utalii wa Doha, kama mashindano yanavyiongiza pesa na kutoa promosheni ya venue.
Kusini 3, lakini ni moja tu inatoka Africa Mashariki na Kati (Simba) !!Katika timu 16,timu 11 zinatoka Kaskazini. Jamaa wanabalaa sana.