Droo ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 | Doha, Qatar | 20.02.2025

Hawa waarabu wameshindikana, katika timu 8 kuna Weusi halisia wawili (Orlando na Mamelod) kidogo na Al Hilal, wakati huko shirikisho nako kuna Weusi watatu tu (Simba, Asec na Stellenbosch).


Kwa hali ilivyo, tutaendelea kutawaliwa na Waarabu hadi pale na sisi tutakapoamua kuwekeza seriously kwenye soka kama Waarabu
 
Nikiiangalia miamba iliyopo hapo kwenye Champions League, nawapongeza Yanga kwa kutoka mapema!
 
Simba itajiandaa kwa nguvu zaidi kwa AL MASRY kuliko ingekuwa kwa wale wengine..huenda ikawa advsntages..
Ingawa route za simba huwa zinapita misri kila wakati but no way
 
Halafu nimekuja kushtuka Mwenyekiti wa Vilabu Africa hakuhudhuria tukio muhimu kama hili au alisusa akajificha kwenye kichaka cha harusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…