EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Nusu kuna zamaleck, sio rahisi kiivyo aisee.Sio Nusu, ni Final na kubeba kombeee!!
Weraaaaa weraaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zamaleck yuko motooo balaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nusu kuna zamaleck, sio rahisi kiivyo aisee.Sio Nusu, ni Final na kubeba kombeee!!
Weraaaaa weraaaaa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Refkadi ndio nini jomba?...maana wanajitahidi na refkadi zao
Yanga alicheza na timu gani ngumu shirikisho. Unawajua zamaleck wewe, ndugu zao al ahaly ?mtakuwa vilaza sana kama Hata shirikisho mtashindwa kufika fainali kama kaka zenu yanga
Hata sisi tuko moto pia.Nusu kuna zamaleck, sio rahisi kiivyo aisee.
Zamaleck yuko motooo balaaa
Hilo mnalitamani but....hilo tutalishindaMwakarobo mwisho wake umefika.
Lazima ya 2003 yajirudie aiseeHata sisi tuko moto pia.
Simba zmaleck ndio itakuwa fainali tayari hiyooo.Hii draw inamaanisha Simba ina uwezo wa kuwa top 3 katika ranking za CAF maana ina uwezo wa kumzuia Zamalek asifike fainali.
Fainali ya Simba vs Zamalek ingenoga zaidi ila tukiwalipizia kisasi vyura dhidi ya USMA itapendeza pia.
KisasiiiiLazima ya 2003 yajirudie aisee
Hawawezi kucheza fainali maana draw inaonyesha wote wakivuka robo fainali inabidi wakutane nusu fainali.Simba zmaleck ndio itakuwa fainali tayari hiyooo.
Bonge moja ya game itakuwa
2003 tuliwatoaga kwa matuta cairoKisasiiii
CRDBUto mnashiriki kombe gani?
Wewe ni mwarabu wa lushoto 🙌Napenda mamelody na Orlando wawe wa kwanza kuaga
SISI WANASIMBA TUNASHUKURU KWA KUSHIRIKI, HAWA AL MASRY WANA BALAA SANA